Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Lutheran..katoliki angelican sabato pentecoste TAG wote ni wakristo..Yesu alikuwa na wanafunzi 12 na kila mmoja anajinsi yake ya mafundisho ndo maana wakagawanyika...ni kitu cha kawaida sana kwa msabato kusema msabato mwenzangu...namwelewa makamba akilalamika kwa sababu hajui kanisa ni nini..ila kwa wakristo mnaomsema lowasa kwa ajili ya kikombe cha chai.. jua biblia inasema utahukumiwa kwa maneno ya kinywa chako..
tatizo unachanganya siasa na imani nahisi utakuwa mmoja kati ya wanafunzi 900 wa gwajima
 
nchi hii ni yetu sote. sio ya waislam na wakatoliki peke yao. hata walutheri waliozaliwa hapa ni watanzania pia. wanahaki ya kuchagua na kuchaguliwa. sijui kama wengi mnalielewa hilo.
si vizuri watu wengine wajione kuwa marginalized kwenye nchi yao. nasisitiza sio vizuri hata kidogo.

Hatuangalii dini la mtu baali uadilifu wa mtu. Kama mtu anayetaka kuwa kiongozi kutoka ktk dini lolote halafu si muadilifu huyo hafai kuwa kiongozi na hatuwezi kumchagua.
 
HILI LIZEE linafiki sana leo anajifanya linampongeza mufti wakati halitaki kura za waislam, wakatoliki, wasabato, wapentecoste na wapagani, eti linataka kura za #WALUTHERI tu, swine kabisa hili lizee tena ovyoooo kabisa kuliko wadudu waishio na kinyesi chooni.

Tatizo mawasiliano kati ya vidole vyako na ubongo wako hayako vizuri... unabonyeza tu vitufe... Ebu rudia kusoma ulichoandika kama una ushahidi nao...

Yaani Lowassa anawasumbua sana akili hadi mnashikwa na mental diarrhoea
 
Hatuangalii dini la mtu baali uadilifu wa mtu. Kama mtu anayetaka kuwa kiongozi kutoka ktk dini lolote halafu si muadilifu huyo hafai kuwa kiongozi na hatuwezi kumchagua.

Hivo vipimo va uadilifu vimeorodheshwa wapi...??
Na kama wanaccm ndo wanahusika kuhukumu ama kuamua uadilifu wa watu basi tunayo laana...
 
Hilo wala lisikupe shida, tunajuwa ku deal nao hao. Lakini si mlutheri kama atakavyo fisadi gonjwa mlutheri Lowassa.

Na mungu akupe na wewe ugonjwa usiotibika kama unavyomnanga Lowasa kuwa ni mgonjwa.upate ugonjwa wa laana ambao kila unavyopata maumivu unamkumbuka Lowasa akuombee msamaha kwa mungu akupunguzie maumivu.
 
Hatuangalii dini la mtu baali uadilifu wa mtu. Kama mtu anayetaka kuwa kiongozi kutoka ktk dini lolote halafu si muadilifu huyo hafai kuwa kiongozi na hatuwezi kumchagua.
nilikuwa nawakumbusha hao wanaowatukana walutheri as if hawana haki ya kuwa viongozi kwenye nchi hii. hayo mengine uliyoandika tupo pamoja.
 
Lowassa ana akili sana anafaa kuwa raisi...wagombea wengine ni kampeni tu wamesahau hata vipaumbele vingine kama hiki cha kuwapongeza waislam kupata mufti mpya..

Sasa ulitaka wakakanyagane wote mlangoni kwenda kwa mufti kwa wakati mmoja?
 
Ni watu wasiokuwa na akili na uwezo ndogo wa kufikili kufikilia tz kiongozi akiwa mkkkt, mloma, shia au mbakwata bc atapendelea wenzake, haya ni mawazo ya watu walifilisika akili na upeo wa kufikilia, kuendeleza stori hizi ni ujinga unaopaswa kukemewa na kila mtz. Tz haina dini but watu wake wana dini
 
Punguzeni jazba ebu tukumbushane taratibu,hivi kuna kiongozi mwingine aliyewahi kutoa michango kwa taasisi za dini ya kiislamu kumshinda Lowassa?ukinithibitishia hilo basi nitakubali kwamba kweli Lowassa nimnafiki.

Waambie hao Magamba, Makamu wa Rais hakuona Mawaziri wake ambao ni Waislam wenzake kwenda kumuwakilisha kwenye Harambee aliyowakilishwa na Lowasa?
 

Attachments

  • 1442166356398.jpg
    1442166356398.jpg
    59.8 KB · Views: 115
  • 1442166386669.jpg
    1442166386669.jpg
    48.5 KB · Views: 96
  • 1442166425064.jpg
    1442166425064.jpg
    47.9 KB · Views: 95
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.

Kama alivyokua anajipendekeza hapa.
 
Suala la MOU ni la kati ya serikali na nchi za kikristo , kama nchi za kikristo wanapenda baadhi ya misaada ipitie kanisani sioni tatizo.
Suala hili mwanzo tuli lielewa vibaya lakini lipo wazi. Hata nchi za kiislam kama zinataka kusaidia taasisi za kiislam kupitia bakwata zinaweza kuingia mikataba kama hii. Tatizo Bakwata lenyewe silo , halina mawazo kama hayo wala utaalam wa kufanya mazungumzo kama kama haya mpaka ukafikiwa mkataba. Ndio maana hata Mkapa alipo amua baada ya kuombwa na na Kitwana Kondo juu ya kupewa chuo cha Tanesco hakuwapa Bakwata kwani alijua hao jamaa mhhh hawatfanya chochote.

Japo hatuchagui kiongozi kwa dini yake lakini imekua mazoea sasa dini mbili kupo kezana japo ni wa chama kimoja lakini kwa vile sasa tuna vyama viwili bikubwa vyote vime simamisha wakristo , na wote wanazo sifa fulani za kuongoza na kwa vile tayari tumekuwa na upande mmoja kuwa wakatoliki basi si vibaya sasa tukawa na mlutheru...na ndio udugu mwema baina ya wakristo...waislam mara hii sio zamu yao
 
Hiyo akaunti inamilikiwa na Ocampo four. Lowasa hawezi hata kuweka saini

Aiseee...Huyu mzee mmemsema sana kwamba anaumwa hoi....lakini hadi sasa yuko fit na kampeni zinaendelea
 
Na mungu akupe na wewe ugonjwa usiotibika kama unavyomnanga Lowasa kuwa ni mgonjwa.upate ugonjwa wa laana ambao kila unavyopata maumivu unamkumbuka Lowasa akuombee msamaha kwa mungu akupunguzie maumivu.

Amina Mkuu

Na iwe hivyo

Mungu aonaye sirini atatenda kadri ya mapenzi yake
 
Back
Top Bottom