Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Mgombea urais kupitia muungano wa UKAWA, Edward Lowassa amewapongeza waislamu kwa kupata MUFTI Mkuu na kuwaomba waislamu wote kumpa ushirikiano kama walivyofanya kwa MUFTI Shaban Bin Simba...

Vile vile amempongeza binafsi MUFTI (mteule) Aboubakar Zuberi kwa kuchaguliwa kwake....

View attachment 286018






Lowasa ndiye kiongozi pekee anayeweza kutuunganisha watanzania wote wa karne hii ya ubepari na ubinafsi. Huyu ndiye mtu atakayerehesha thamani ya maskini mbele ya tajiri kwani amekua mstari wa mbele kuchangia shughuli za maendeleo bila kujali dini au kabila.

Magufuli alitoa mabilioni mfukoni kwake kujenga kanisa la dhehebu lake kule Chato karibu na hoteli yake lakini hajawahi kuchangia hata kisima cha msikiti wa waislam.
Lowasa ameshiriki kwenye harambee ya maendeleo ya dini na madhehebu yote kwa moyo mmoja bila kubagua. Lowasa anapenda dini na madhehebu yote kwa vitendo.
Lowasa anataka dini zote zipate fursa sawa za kimaendeleo ndio maana siku zote ameshirikiana nao.
Kuna viongozi wengine hata wakiitwa kwenye kuchangia maendeleo ya watu wa dini nyingine hawaendi kabisa wanatafuta wawakilishi.

Watanzania tuwe makini sana na CCM kwani ilishatugawa siku nyingi ndio maana haitaki watu wa dini na madhehebu yote wapate fursa sawa za kiuongozi na kimaendeleo.

Lowasa aliomba waumini wenzake wamuombee lakini CCM imepotosha kwa kusema kuwa ni udini.
CCM walifikiri kuwa wanamchafua kumbe ndio wanazudi kutugawa na kujenga chuki miongoni mwetu.

Mwenye akili haambiwi tazama. Wote tulioko kanda ya ziwa tunaona jinsi ssm inavyiratibu siasa za ukabila na udini nyumba kwa nyumba bila kujua kuwa hii nchi sio lazima itawaliwe na magufuli. Siasa hizi za chuki ndizo zinazowafanya SSM wawe waoga wa kutolewa madarakania.
 
hivi kuwapongeza watu ni kipaumbele cha kugombea na kuwa rais?
utani mwengine sio mzuri kabisa. halafu na watu wenyewe wanaopewa hicho kipaumbele....


Lowassa ana akili sana anafaa kuwa raisi...wagombea wengine ni kampeni tu wamesahau hata vipaumbele vingine kama hiki cha kuwapongeza waislam kupata mufti mpya..
 
nchi hii ni yetu sote. sio ya waislam na wakatoliki peke yao. hata walutheri waliozaliwa hapa ni watanzania pia. wanahaki ya kuchagua na kuchaguliwa. sijui kama wengi mnalielewa hilo.
si vizuri watu wengine wajione kuwa marginalized kwenye nchi yao. nasisitiza sio vizuri hata kidogo.
 
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.

sema wewe ndiyo umpi kura, usiwasemee wengine. Kwa taarifa yako magufuli hawezi kuvuna asichopanda.

Kama ulikuwa ushiriki shuguli za watu na kuwachangia pindi walipokuwa waitaji,

usitarajie kupata kitu, watu umwangalia mtu kwa utu wake na kujitoa kwake pindi uwapo mwitaji.
 
Anajikosha tu kwa Waislam. Akili yake ipo kwa Walutheri wenzake

Punguzeni jazba ebu tukumbushane taratibu,hivi kuna kiongozi mwingine aliyewahi kutoa michango kwa taasisi za dini ya kiislamu kumshinda Lowassa?ukinithibitishia hilo basi nitakubali kwamba kweli Lowassa nimnafiki.
 
Huyu ------ ni mnafiki tu, aende zake huko na udini wake Lutheran.

sishangai hilo uliloliandika maana linaendana na ID yako! Bora ubaki huko huko Chooni (CCM)maana ndio maskani yako!!!. Najisikia Kutapika!!!
 
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.

Huenda huna taarifa au umesahau kuwa Lowassa alitumwa na Sheikh Alhaji Ustadh Alli Hassan Mwinyi
 
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.

endelea kukimbia kivuli chako
anaingia mkatoliki magufuli kwa maslahi ya kanisa na vatican FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio mdini unayedhani mkristo akimpongeza mufti ni unafiki
Mnafiki mkubwa kwanza hakumtaka huyo mufti zubeir halafu anajipendekeza nini. Anawapenda zaidi walutheri kuliko waislam. Huyo mnafiki mwenzake Sumaye anadhani waislam wamesahau alivyoamrisha polisi waingize mbwa msikitini mwembechai. Wasiwafanye waislam mazuzu wanaosahau mambo ya dharau Kwao kwa kulambishwa pipi. Pelekeni unafiki huko kaskazini
 
Nec na ccm watatoa matamko ya udini. lowasa mdini sana kwa nini ampongeze sheikh.
 
Huyu ------ ni mnafiki tu, aende zake huko na udini wake Lutheran.

Wewe Ndo Unaye Leta Mambo Ya Udin Humu Sasa! Bora Utupishe Usitake Kutugawa Kwa Udin Wako Sisi Sote Ni Watanzania Wa Baba Mmoja. Utake Ustake Lazima Lowasa Awe Rais Wako Tu.
 
Back
Top Bottom