Lowassa could've done better...

acha kutudanganya ndugu, ulivoandika apo juu umekosea sana, Lowassa is not good katika maamuzi na uwajibikaji pia, na hana sifa za kua kiongozi bora
Unadhani nick name ya "mtu mwenye maamuzi magumu" ilianzia wapi?

Na uwajibikaji haukuwepo alipojiuzulu?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 

So in your opinion huoni kama tatizo kubwa Tz ni elimu? No wonder!!
 
Lowassa zilipendwa hana nafasi tena katika siasa za bongo, atulie kama wenzake akina, Malecela , Dr. Salim, Msuya na wenginevo vinginevyo atakuja pata aibu tu
Kama ni zilipendwa, usitumie nguvu kubwa kumpinga na kumpakazia uongo.

Ni mtu wa tofauti siyo kama hao kina Msuya. Hao hawawezi kujitolea chochote kwa ajili ya Taifa hili. Wenyewe ni wastaafu wabinafsi na wengine wameshaambiwa wanawashwawashwa.
 
Mimi nashangaa unapolazimisha kuwa Lowassa fisadi lkn mbona huyu aliyepo ndiye fisadi aliyekubuhu? Tena sisi tunataja ufisadi wake wazi lkn wewe unataka ufisadi wa kuambiwa. Haya ona ufisadi wa huyu MTU
1: kauza nyumba za serikali hata kwa wapenzi wake
2; kanunua kivuko kibovu
3: kavunja mikataba bila kufwata sheria hali iliyolitia hasara kubwa taifa letu
4: kakamata meli ya wachina kwa sifa tu na ameshindwa kesi tunalipa mabilioni
Amejenga barabara Nyingi zilizo chini ya viwango
Sasa mtu kama huyu unapata wapi nguvu ya kumtetea?
 
Mpaka leo sijaelewa kwanini kama ni fisadi kweli ile mahakama ya Yohana haijamshughulikia?? As a matter of fact hakuna ktk wote waliowahi kutuhumiwa tuliosikia mf Chenge wakipelekwa mahakamani sasa tutaamini vipi kuwa ni kweli alcohol anapambana na ufisadi? Tumetumia gharama kubwa na mbwembwe nyingi kuianzisha ila ipo kama pambo kama hiyo tu sio ufisadi ni nini??
 
Plagiarized work?
Theatre arts is plagiarism work. Mr Tony Blair's campaign words of "Education, education, education ... " were plagiarized by our theatre art expert. The decking of tarmac roads and so forth were all plgiarized work. I think this is what you meant Mr Invisible.
 

Jaribu kuwa makini unapojibu hoja ya mtu. Jina tu linakushinda. Hayo mengine inakuwaje?
 
Siungi mkono hoja
 
Magufuli ni rais bora kabisa kuwai kutokea. Acheni akili fupi za kiafrika, huyo lowassa kwa mfano angefanya nini ambacho magu hafanyi zaidi ya wizi yeye na genge lake la kina rostam karamagi
Kauli nyingine sidhni kama zinamantiki wewe ulijua MAGU kama atakua na akili za ajabu ajabu mara a waponde wenye vyet fake wakati huo huo anawakingia kifua wengine mcwe na ugonjwa wa kupendo chongo mkaita kengeza
 
Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.
Hapana ,..kwa lowasa zama zake zimeshapita.Yeye kama magufuli wana madhambi yao mengi sana kwa sababu kimsingi wote ni zao la CCM
 
Huyo Lowasa wakwenda kushirikiana na hao wakora wa Jubilee huko Kenya hapana asee bora tu Magufuli...kwa hizi move zake sidhan kama yule mzee alikua na nia njema na sisi kabisa mimi naona Mungu katuokoa tu kutupa Magufuli kule tungepotea kabisa yanayoendelea kwa sasa tuwe wavumilivu tu na tupige kazi tushaona hali yenyewe ipo kama hivi hio pesa kama kweli una uchungu nayo utapigana tu nchi bado ina fursa nyingi sio lazima kukaa huko maofisini au kuish kijanja janja hangaika unachopata rizika nacho tuache kua na tamaa za kuishi maisha ya wengine wakati kipato chetu halali tunakijua hata kama kitakua ni kidogo komaa tu hivyo hivyo hakuna mafanikio bila kupigika tulichokitaka tunatafutiwa ila hapo lazima tukubali wote tu kuteseka kama Taifa......kwani huko wafanyakazi mishahara imepunguzwa si ni ile ile au kwa wafanyabiashara kodi zimepanda sana kias cha kwamba hampati chochote? Kodi zile zile sheria zile zile tukubali tu wote tulifanya makosa tulipie tuliyoyatenda ndo tufike huko tulipotaka angalieni historia za mataifa yote huko ambayo tunatamani kua kama wao hawakufikia pale walipo kwa kutegemea mtelezo tu watu walijitoa kweli kuanzia viongozi hadi wananchi
 
Mkuu nimeiptia hii video kama nilivyoahidi. Lakini naona tunapishana hapa...

Kwanza tuachilie mbali issue kwamba uamuzi wote wa kuuza nyumba za serikali ulifanywa collectively na kwa kufuata taratibu, i.e. rais Mkapa kushauriwa kwake, tume kadhaa kuundwa. Hilo tuache.

Pointi yangu inakuja kwenye utekelezaji wa uncle Magu.

Kwasababu ilikuwa ni lazima mnunuaji awe mtumishi wa umma, ndugu yake alipewa hiyo status ili aweze kupewa nyumba hiyo. Nasema alipewa kwasababu ni kama tu waligawana hizo nyumba za umma ukiangalia hizo bei.

Suala la yeye kutake advantage ya uzembe wa serikali ambayo na yeye yumo kwa kuhakikisha ndugu wananufaika na ufisadi huo, ni ukosefu mkubwa sana wa uzalendo.
 
Reactions: bne
Lowassa angekuwa rais halafu akapiga marufuku siasa za upinzani ndo ungeweza kuongea haya.
 
We are still a work in progress mda mwingine inabidi tu ufanye mambo ambayo watu hawatakuelewa ili malengo yatimie .....na lengo letu sote ni kuinua Taifa hili
 
Mbegu kabla ya kuota inabidi kuoza kwanza, halafu ndio inaanza kuota, ndio kanuni ya Kimungu, Magufuli ni Rais Mzuri sana, sio mnafiki kama hao wengine, Ni sifa ya shujaa, Magufuli anachosema ndio anachokifanya, hapindishi, lakini pia ameweza kufanya vizuri katika nyanja zote muhimu katika muda mfupi,Mafanikio yaliyopatikana katika miaka miwili ya Urais wake ni makubwa sana, muelekeo wa nchi miaka kumi ijayo unaleta matumaini, isipokuwa HAPA KAZI inataka ufanye kazi ili upate mkate, na uko mbele hakutakuwa na kukaa kwa shemeji tena.
 
EL siyo fisadi, angekuwa Fisadi basi serikali ya awamu ya Tano isiyovumilia ufisadi ingekuwa imeshamshitaki mahakamani!🙂
 
Lowassa angekuwa rais halafu akapiga marufuku siasa za upinzani ndo ungeweza kuongea haya.
Na ndio maana hajawa hio democracy kwetu huku kivuli tu cha hao wanyonyaji huko Kenya kwenyewe mnaposema ndo kuna demokrasia kubwa hao wanyonyaji wamekaa na hao viongozi wao wakiwakamua wananchi ila sababu matakwa ya watu fulani yako sawa na kuna watu wanafaidika na hao wanyonyaji mambo yanawekwa yaonekane sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…