morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
Umesahau huko morogoro tuu.lakini sio kwenye huo mkutano .kama ungekuwako kitu cha kwanza kiovu mwanaccm yeyote angikiona ni jinsi Lowasa anavyo tumia pesa kusomba watu na baiskeli kujaza mafuriko..akiwa amewazidi ccm kwa kubeba watu na malori..so usitudanganyi hapaa.