Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

oin Date : 12th September 2015
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received16
Likes Given0
 
Hawana jipya ukawa kwisha kabsa vyama vya upinzani kufa October.lowasa ni mgonjwa hatufai kabsa

Kweli kabisa lakini ccm hapana nakataa kuipa kura yangu bora huyu mgonjwa maana hata roservet raisi wa marekani aliingia mgonjwa na kwa kua hata watanzania wengi ni wagonjwa kwasababu ya chama cha mapinduzi kimesababisha mahospitali kutokua na dawa bora huyu mgonjwa aliye niahidi hospitali kutakua na dawa na watoto wangu watasoma bure kuanzia shule ya msingi mpaka chuo.
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni CHADEMA Masalia wakiwa katika makundi tofauti tofauti.

Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama.

Wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Ndo propaganda mlizotumwa mueneze au sio???hv unadhan watu hatuend au hatufatlii mikutano??yan chadema hata atoke mbowe cc tunabak na mzee wetu na ushnd lazma...nenda kawaambie waliokutuma
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Hamna mwanachadema kama ww.......hv nyie hamsom upepo??mnalpwa shng ngap??kafeli lipumba,kafeli slaa nyie hamtaweza
 
Robojosoni: Acha uzushi, eti CHADEMA Masalia.. wa wapi? Vijana wa Masaburi nd'o mnajiita hivyo?
 
Hiyo kazi waliyokupa itakufanya uchume dhambi..

Kabisa...halaf watu wamengngania ufisad wa lowassa wakat hata wao wanaongea uongo ili wakubalike....sugu alishawaambia tz hii sio ile ya mwka 95below ya uhuru na uzalendo tu...sasa iv watu wanaelewa hta kama kusoma hawajui basi picha wanaona
 
Watu wanaongozwa na akili ndogo MBOWE ajabu kwakweli, na watakapo jitambua huyu kiroboto atajua kuna masika na kiangazi, kwa sasa anatumia ujinga na uzuzu wa mafuasi fuata upepo
 
IT team Makamba kule masaki. Mtasubiri sana kama fisi mkikimbizana na kivuli, wala mkono hauanguki ng'o! kawaambie waliokulipa
 
jamani fanyeni research nchi nzima c Jf humu!!!!lowasa atashinda vipi!?!!!angalien mkoa wa moshi,arusha,manyara,na iringa anapojivunia anaungwa wamejiandikisha wangapi!!!dar 2.8 milion,wakati wakazi 8milion,mwanza 2.7kwakaz 7milion!!!watanzania waliojiandikisha 23.8milion!!!huyu robot anashindaje!!!ccm tu ina wanachama halal 9!!!robot liwasa chukulia wapo watakampa kula 1milion!!!!wanapak 8milion!!kila mwanachama aende kupiga kula na mtu mmoja baki!!!dr magufuli atapata 16 milion!!!polen msio na tafiti za kutosha
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Wewe ni mgonjwa wa akili..yaani ID ileile unajiita CCM alafu unajiita CDM
 
Jamani acha kupoteza muda bure kumjibu. Angalia takwimu zake

General Information

Last Activity Today 20:22Join Date12th September 2015
huyo atakua ni kada wa ccm ame2mwa kumchafua mhexhmiwa hana lolote hawaz ku2badilixha mcmamo we2 cc cku ya kura 2taenda kumpa mhexhmiwa
 
Mm cwez kupigia ccm kura yangu kwakua wana ahad ziczo tekelezeka nakumbuka huyu mhexhmiwa anaemaliza mda wake alienda mwanza akaahid kua atajenga rel ya kutoka mwanza mpaka darexalam lakin anamaliza na rel hakuna na huko mtwara wamakonde wamepigwa xana na xerekal ya mhexhmiwa na wame2mia mpaka jexh la wananch kipind wanazuia gec ictoke na wengne kec zao mpaka xxa hazjaixha lakin leo wanaenda kule na bado wananch wanawackiliza najua tatzo elim nayo kwa wa2 wale inatakiwa itolewe yakutoxha kwakwel
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni CHADEMA Masalia wakiwa katika makundi tofauti tofauti.

Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama.

Wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

amezomewa sehem gan au umbea 2.
 
Nakwambia myself ni mwana chama wa chadema mwanzo nilichukulia poa nikasema namuunga mkono mamvi bt niliviona kashfa zke kumbe ni nyingi namm nimejiweka pembani naona bora nihamie act
join date 6th august, post 108,
siku ambazo uko JF 40, wastani kwa siku unatupia post tatu, unatoa likes 8, hongera mwana ACT
 
Ukiangalia maeneo ambayo bado yameikumbatia ccm tangu uhuru ndiyo maeneo yenye huduma mbov za kijamii kwamfano huko lind na mtwara na hapa tanga kuna xhida xana mm nilipangwa kaz kule nikaacha maana kwanza xhule ni mbov mwalimu upodaraxan unaogopa kuangukiwa na ukuta maji ndio ucxeme kwakwel maixha ya wananch wale ni magumu xana na wapo rigid hawatak kuyapokea mabadiliko cjajua tatzo ni nn lakin mm nahic na elim nayo kua ndogo inachangia
 
Mm cwez kupigia ccm kura yangu kwakua wana ahad ziczo tekelezeka nakumbuka huyu mhexhmiwa anaemaliza mda wake alienda mwanza akaahid kua atajenga rel ya kutoka mwanza mpaka darexalam lakin anamaliza na rel hakuna na huko mtwara wamakonde wamepigwa xana na xerekal ya mhexhmiwa na wame2mia mpaka jexh la wananch kipind wanazuia gec ictoke na wengne kec zao mpaka xxa hazjaixha lakin leo wanaenda kule na bado wananch wanawackiliza najua tatzo elim nayo kwa wa2 wale inatakiwa itolewe yakutoxha kwakwel
 
Back
Top Bottom