Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Jamani acha kupoteza muda bure kumjibu. Angalia takwimu zake

General Information

Last Activity Today 20:22Join Date12th September 2015
huyo atakua ni kada wa ccm ame2mwa kumchafua mhexhmiwa hana lolote hawaz ku2badilixha mcmamo we2 cc cku ya kura 2taenda kumpa mhexhmiwa
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Cha kushangaza huna kadi ya chama chochote na huelewi unachoshabikia. Huku Jf hupati mume na Lumumba ulikozoea kuendea buku saba October yatabakia majivu. Hata hivyo usijali utaalamu wako wa kukaanga vitumbua utabaki nao maana huna uwezalo zaidi ya hapo kwani hujasoma.
 
jamani fanyeni research nchi nzima c Jf humu!!!!lowasa atashinda vipi!?!!!angalien mkoa wa moshi,arusha,manyara,na iringa anapojivunia anaungwa wamejiandikisha wangapi!!!dar 2.8 milion,wakati wakazi 8milion,mwanza 2.7kwakaz 7milion!!!watanzania waliojiandikisha 23.8milion!!!huyu robot anashindaje!!!ccm tu ina wanachama halal 9!!!robot liwasa chukulia wapo watakampa kula 1milion!!!!wanapak 8milion!!kila mwanachama aende kupiga kula na mtu mmoja baki!!!dr magufuli atapata 16 milion!!!polen msio na tafiti za kutosha

Sijui nilie sijui nicheke kwenye red?. Haya matope uliyoandika ndugu, bila shaka mwalimu wako wa msingi alijuta kukufahamu. Da!
 
Ndo propaganda mlizotumwa mueneze au sio???hv unadhan watu hatuend au hatufatlii mikutano??yan chadema hata atoke mbowe cc tunabak na mzee wetu na ushnd lazma...nenda kawaambie waliokutuma

Hata angekuwa mgombea binafsi urais ni wake. Lowassaaaaaaaaaaaa
 
Kama ndivyo basi ni wazi Moro ndo mkoa pekee ambao kupata kujitambua itachukua muda sanaaaa...
 
Aisha Iddi, naomba nikupe ushauri mdogo tu, umejiunga na JF tarehe 25 August, 2015 na hata mwezi bado na toka umejiunga umeanzisha mada tatu tu na post zako kwa ujumla ni 31. Katika hizo zote hakuna ulipojitambulisha na uanachadema, sana sana umejitambulisha kama mwana CCM kindakindaki na shabiki mkubwa wa Magufuli. Kijana kumbuka hii ni JF na hivyo ukiwa muongo hakikisha huwi msahaulifu; JF inatunza kumbu kumbu.

mkuu haka ni kajukuu ka FaizaFoxy kamerithi uchawi wa bibi yake
 
Last edited by a moderator:
sisi hatuna ulimbukeni huo

Hamna ulimbukeni au hamna vidhibitisho? Hujaeleweka we babu,
Ndio maana mnaishia kusema lowasa fisadi lakini mnashindwa kwenda mahakamani maana hamna ulimbukeni wa kwenda mahakamani?
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Hahahaaaaa mbona kama ww ni mwana Ccm kwanza hueleweki .kajipange kwanza
 
Azomewe tu maana hana jipya tofauti na tamaa yake.
 
Azomewe tu maana hana jipya zaidi ya maradhi yanayomsumbua.
 
Mbona ataisoma namba this time, kila anapopita ni kuzomewa tu.
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni CHADEMA Masalia wakiwa katika makundi tofauti tofauti.

Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama.

Wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Hao ni wenye card za chama zisizo na maandishi kama jina,muhuri ,namba ya card nk: wapo wengi sana kwenu na hao ---------------nertwark era
 
inatia raha jinsi maelfu ya watanzania wanavyoupitia huu uzi, propaganda zinashindwa kazi, sasa zina back fire kwa ccm. Chama kinacho tuma vijana wake kufanya propaganda za uongo ni chama hatari kwa mstakabali wa taifa hili, kura yangu inaenda ukawa
 
Back
Top Bottom