Lawama zote ziwaendee spika Anne Makinda na Sitta kwa kuwagandamiza wabunge wa wapinzani na hatimaye kupata akili ya kuunda UKAWA. Kama kuna wakati mugumu kwa CCM ni hii miezi iliyosalia kufikia uchaguzi wa October badala ya kuongeza wanachama wanapungua kwa kasi ya ajabu.