Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly

They can do nothing about this.
 
Tukutane kesho ofisi za NEC kumsindikiza mheshimiwa rais atakapokwenda kuchukua fomu
 
CCM wanatamani nao chama chao kijiunge na UKAWA kwa namna mziki ulivyo!!

Watawezaaaa?
 
Kesho sidhani kama huko mjini kutapitika.
Kwenda kuchukua form kwa lowasa kutafanya huko mjini kusipitike.
 
That something is to console themselves that they have a pictorial human resource. Goli a mkononi akikuona refer ni penalty ya kukuua kabisa. Mboa Nap hasikiki tea kunyesha mate? Na yul mwenye kutoa makapi kimyaaaaa!!!! Somaa labda ndio anaonbea.Kuna wakati niliuliza mbna Lipumba ameka kinyarwanda vile? Sasa nimepata jibu kumbe kaenda kwao.

Hahahahaaa uuwi jamani raha ma ccm tuyafutilie mbali.
 
Kesho sidhani kama huko mjini kutapitika.
Kwenda kuchukua form kwa lowasa kutafanya huko mjini kusipitike.

Mkuu kesho hata sisimizi hatapata nafasi ya kupita..... Watu watafurika ya ajabu sana na itakuwa historia katika Nchi hii...
 
Back
Top Bottom