Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Ndio tunaenda kunywa Chai nae Ikulu
Chai mkanywee monduli siyo ikulu. Ikulu siyo pango la walanguzi
Ndio tunaenda kunywa Chai nae Ikulu
Pole, ila kujifariji kwa matumaini ya uwongo siyo mbaya,inasaidia kupunguza msongo wa mawazo.
Mbele ya wasomi maccm waliipindisha rasimu ya katiba sembuse kuiba kura sa mamilioni hiyo mbona rahisi sana?
Narudia tena kuwaambia, Lowassa ni chaguo la Mungu..... Haya yote ni makusudi ya Mungu
Unajivunia kura zisizo za haki mkuu!!?. Mi nilidhani CCM Unajivunia kura za halali na haki !?.
Tubakie kwenye agenda ya UKAWA/CHADEMA kupata bingo. Mwenyezi Mungu na EL!!!!??? Tusije tukatibua wanao tuunga mkono kwa mtazamo tofauti na sisi.
Chai mkanywee monduli siyo ikulu. Ikulu siyo pango la walanguzi
Narudia tena kuwaambia, Lowassa ni chaguo la Mungu..... Haya yote ni makusudi ya Mungu
Naichukia ccm na kazi zake zote na mambo yake yote.
Narudia tena kuwaambia, Lowassa ni chaguo la Mungu..... Haya yote ni makusudi ya Mungu
lowasa ni fisadi tu,kupita itakuwa ngumu sana.
Inategemea Huyo Mungu Ni Mungu Gani Mkuu Kwani India Mungu Wao Ni Ng'ombe Na Sisi Wazanaki Mungu Wetu Ni Yule Sokwe Aitwae MUHUNDA Na Kuna Wengine Mungu Wao Ni Simba Huku Wengine Mungu Wao Ukiwa Ni Mti Mkubwa Bila Kusahau Wengine Mungu Wao Ni Paka Na Wengine Ni Sanamu Na Joka Kubwa. Tunaomba Kujua Huyo Mungu Ambaye Chaguo Lake Ni Lowassa Ni Mwenyezi Mungu Huyu Huyu Asiyependa RUSHWA, CHUKI, VISASI, MAUAJI ( Namaanisha Kuwapa SUMU Akina Mwakyembe Na Mwandosya Ili Wafe Lakini Hawajafa Na Leo Bado Tunadunda Nao Mitaani ), TAMAA, USHIRIKINA ( Namaanisha Kuagiza Waganga Kutoka Nigeria, Senegal Na Mali Ambao Sasa Wamepangishwa Hotelini Sinza Na Wengine Bahari Beach Wakiendelea Kufanya Kafara Zao ) Na UMAFIA?