Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Haya mazingaombwe kwa tuliokuwa tunamfuatilia mamvi kabla hajakatwa pale dodoma tunajuwa mwisho wake. Lazima ATAKATWA tu Mungu anawapenda watanzania na nchi yao hawezi kuruhusu majambazi yaingie ikulu.

Kwa wivu na hasira mlionayo kwa El hatutashangaa mkizidi kumzongazonga na kumuwekea mizengwe. Haki ya mtu haipotei bure.
 
Hivi Chama langu CCM mtayajibuje haya?
Magufuli alienda kuchukua form tukaonatumejaza barbara kumbe kumbe tulizidiwa na Lembeli wa kule kahama alipokuwa anatambulishwa kama mgombea Ubunge kipitia Chadema
sasa mamvi anaend kuchukua form kesho, tutajibuje hilo?
amkeni CCM yangu, hali si shwari huku
 
Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly
Wapiga kura ni kama wafugaji hufuata malisho kulingana na wakati huo so siajabu wakarudi tena walikotoka mvua ikianza kunyesha
 
Hahaa....kwakwel kazi ipooo......bugurun......imezizima na amefika bila taarifa
 
Babaaaaaa Fantaaaaaa
 

Attachments

  • 1439119490153.jpg
    1439119490153.jpg
    137.9 KB · Views: 1,125
Kweli lowasa ni chaguo la mungu mapepo na mashetani yote yanakimbia ukawa mwacheni mungu aitwe mungu
 
Kwa tuti hili Magufuri ajiandae kwenda kulima pamba Chato😱:sly:
 
Nakaa najiuliza hivi kweli ndugu lowasa atasimamia misingi ya ukawa??? Je atasimamia Sera za chadema?
Upinzani unahitaji mabadiliko mengi mojawapo ni hili LA serikali tatu....
He muumini wa serikali mbili atasimamia hili au ataachia wananchi waamue??
 
Peleka ujinga huko Lowasa ndo Rais wa JMT amin ivo kila kitu kishawekwa Sawa

Rais ameshateuliwa anasubiri kuapishwa.huyo wakwenu alikatwa kaja huko sasa kama bado mnampenda sana nendeni mkanywe nae chai.
 
Rais ameshateuliwa anasubiri kuapishwa.huyo wakwenu alikatwa kaja huko sasa kama bado mnampenda sana nendeni mkanywe nae chai.
Pole, ila kujifariji kwa matumaini ya uwongo siyo mbaya,inasaidia kupunguza msongo wa mawazo.
 
Kwa wivu na hasira mlionayo kwa El hatutashangaa mkizidi kumzongazonga na kumuwekea mizengwe. Haki ya mtu haipotei bure.

Rais ameshapatika ambaye watanzania wanampenda.sasa kama huyu mnampenda sana nendeni mkanywe nae chai.
 
Back
Top Bottom