Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Haya mazingaombwe kwa tuliokuwa tunamfuatilia mamvi kabla hajakatwa pale dodoma tunajuwa mwisho wake. Lazima ATAKATWA tu Mungu anawapenda watanzania na nchi yao hawezi kuruhusu majambazi yaingie ikulu.
 
I wish ningekuwa dar nami nimsindikize rais wangu. Ninafuraha ya ajabu kuwa mwaka huu kura yangu italeta jibu, nami nitakuwa na hadithi ya kuwahadithia wajukuu zangu jinsi nilivyotumia haki yangu ya kura kuangusha utawala dhalimu wa ccm.

Kweli kabisa nasi tutafute chakuwaadisia watoto wetu chama cha ccm si chama chetu vijana tukitoe madarakani" tuanze na kitu kipya tunachokijua ccm imechoka.
 
na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!

Yego masika.

Mwana wa sengi tulia LOWASSA ndiye rais wako ajaye
 
Nasikia furaha sana kuona mambo yako hivi.Leo Kikwete alikua na hasira sana huko Mtwara maana alivyokua anaongea...mhhhh!
Na wale watu wachache waliojitokeza naona kaumia sana.
Na mimi ndio nafurahi hivyo; haya ndio malipo ya fitna zake.
 
ndio maana walimkata samwel 6 maana ndiye aliye uleta uhu ugonjwa unaoitwa UKAWA unao itesa ccm na kupelekea kufa kabisa,

Hahahahahahahaaa wacha ife tumechoka kuiona ccm inayolinda maovu. arusha mwenyekiti wa ccm mkoa amejiuzulu na katibu mtendaji wake
 
Haya mazingaombwe kwa tuliokuwa tunamfuatilia mamvi kabla hajakatwa pale dodoma tunajuwa mwisho wake. Lazima ATAKATWA tu Mungu anawapenda watanzania na nchi yao hawezi kuruhusu majambazi yaingie ikulu.

Peleka ujinga huko Lowasa ndo Rais wa JMT amin ivo kila kitu kishawekwa Sawa
 
Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly

Wafanye nini tena!? Watanyooka tuu
 
na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!

Hhahahahaha,sasa povu la nini mkuu?:smile-big:
 
Ccm na majizi yake lazima waondoke......
Wamefanya vyeo na serikali ni kitu cha kurithi kisha kutudanganya kama wajinga.,
 
Back
Top Bottom