mh ila ki ukweli CCM hali yetu sio nzuri...!!
but naendelea kumpa nafasi magufuli za kupita...!!!
ni kweli mkuu Lipumba anapaswa kushukuriwa ameleta muamko mkubwa sana UKAWA baada ya kuondoka. Popote pale ulipo napenda kukushukuru kwa niaba ya wana UKAWA, usingeweza mwendo wetu.
Kwa analysis yangu ndogo, mimi naona mambo matatu yamepaisha visibility ya upinzani nchini:
(1) Serikali kuendelea kuwa defensive pale wapoinzani wanapoibua vitu vinavyowakera wananchi ikiwemo ufisadi na dhulumati au maendeleo duni. Katika hali hii wananchi wanaona kuwa serikali haiwajali na inakumbatia ufisadi na dhulumati au maendeleoi duni.
(2) Mheshimiwa Spika Makinda kutoka CCM kuendesha bunge la Muungano kama idara ya CCM au ya serikali na kuwa anaegemea serikalini badala ya kuliongoza bunge likiwa ni nguzo ya kutunga sheria na kuishauri serikali.
(3) Mheshimiwa samuel Sita kuendesha bunge la Katiba kibabe na kutetea msimamo wa CCM na hivyo kuwafanya wapinzani kuungana na kuzaa UKAWA ambayo sasa inaisumbua serikali pamoja na CCM.
Tunajifunza nini: Mwanzo wa kidonda ni kipele au hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha!!
Sasa ni wazi nguvu ya Lowassa inazidi kuonekana hasa baada ya leo kutinga katika ofisi za CUF....
Kama hali ndio kama hivi, je kesho itakuwaje atakapoenda kuchukua fomu katika ofisi za NEC. Ambapo msafara utaanzia katika ofisi hizo za CUF saa tatu kamili asubui....
More pictures zinakuja.
![]()
Narudia tena kuwaambia, Lowassa ni chaguo la Mungu..... Haya yote ni makusudi ya Mungu
ndio maana walimkata samwel 6 maana ndiye aliye uleta uhu ugonjwa unaoitwa UKAWA unao itesa ccm na kupelekea kufa kabisa,
Hata Jakaya aliitwa Chaguo la Mungu, sie tunataka Chaguo la Wapiga kura.