Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!

Kadiri unavyojitingisha ndivyo Kijiti kinazidi kukuingia.. Bora unyamaze tusijue unavyoteseka
 
Kwa analysis yangu ndogo, mimi naona mambo matatu yamepaisha visibility ya upinzani nchini:
(1) Serikali kuendelea kuwa defensive pale wapoinzani wanapoibua vitu vinavyowakera wananchi ikiwemo ufisadi na dhulumati au maendeleo duni. Katika hali hii wananchi wanaona kuwa serikali haiwajali na inakumbatia ufisadi na dhulumati au maendeleoi duni.
(2) Mheshimiwa Spika Makinda kutoka CCM kuendesha bunge la Muungano kama idara ya CCM au ya serikali na kuwa anaegemea serikalini badala ya kuliongoza bunge likiwa ni nguzo ya kutunga sheria na kuishauri serikali.
(3) Mheshimiwa samuel Sita kuendesha bunge la Katiba kibabe na kutetea msimamo wa CCM na hivyo kuwafanya wapinzani kuungana na kuzaa UKAWA ambayo sasa inaisumbua serikali pamoja na CCM.

Tunajifunza nini: Mwanzo wa kidonda ni kipele au hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha!!

Si na wewe ulikuwa member wa bunge lile ukiiwakilisha geita
 
CCM mwaka huu wataondoka madarakani kiulani sana kwani hayo mafuriko yameshaanza kuwakatisha tamaa.
ImageUploadedByJamiiForums1439122843.649914.jpg
huyu ndo mgombea uraisi kupitia ccm akicheza kiduku ameshaanza kujiandaa kisakolojia sasa
 
Wacha maccm watangetange kwa kumchafua,maana wanaelewa nini kinaenda kuwapata

Hahahahaha ...... Ama Kweli Dunia hadaa... Huyu alikuwa msafi lini hata achafuliwe leo? Ni nini kipya kinachosemwa juu yake? Ni nini kimewapata Watanzania ?!!!
 
Mkuu major mwendwa nashukuru kuona kamanda anajali tatizo mimi nataka nione sasa....
Hata hivyo nitaangalia hili kwa mapana zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Nayachukia maCCM aisee, huu mwaka mrefu bana hivi kwa nini October haifiki huyu msanii wa wasanii akaitema ikulu yetu?
 
asante wana cuf na umma kwa ujumla kwenda kumshuhudia huyo ibilisi ndani ya chama chetu, ila ninauhakika hamtafanya makosa siku ya uchaguzi. Umma wetu twamjua hasa nani ni adui yetu, kwa mbowe na huyu lowasa ndo tutamuimalisha adui yetu.
Hawa wakaskazini hawapo ikulu lakini watutesa hivi kwenye ajira nono na biashara, hakika wakienda ikulu wanaweza wakatuhamisha nchi. Tuwaache wajipigie kura wenyewe
mgombea wa chadema anaanzia cuf ambako kuna ofisi na mwenyekiti katimuliwa
 
Kwani mtaivunja TISS ya sasa na kuunda nyingine mkishika madaraka?

Haaayo ni maoni yako ingawa ni mazuri pia. Sio lazima ibadishe jina, lakini mfumo mpya ni lazima maana kwa sasa imekaa kiccm zaidi sio kitaifa. TISS ya Mwalimu JKN ilikuwa ya kitaifa tofauti na sasa.
 
Kwani mtaivunja TISS ya sasa na kuunda nyingine mkishika madaraka?

Japo hayo ni maneno yako, TISS itakuwa na ulazima wa kusukwa upya kulinufaisha Taifa kuliko ilivyo hivi sasa imekaa kiccm zaidi na kupungukiwa na utaifa kama ule wa JKN
 
Kuanzia leo CUF itakuwa kivutio kikubwa kwa Watanzania...... Lowassa ni zaidi ya mafuriko

Ili mbegu yoyote ilete tija ni lazima ife kwanza na kupotea kabisa, ikishaota inaleta mbegu nyingi na bora zaidi.
 
Kweli cdm mnatapatapa,yani baada ya kukosa ofisi mmeamua kwenda kuanzia kwa wenye ofc kwa kisingizio cha mwenyekiti mwenza ambaye pia hayupo. Poleni poleni jamani!
 
Back
Top Bottom