Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Ambacho haukijui Dar siku zote ina wapigakura wengi wa ccm na si wapinzani. Wapinzani bado wana karata nzuri mikoani kuliko hata Dar. Wanatakiwa wajipange tu.Umemaliza Kila Kitu Mkuu Na Kama Wanadhani Wapiga Kura Wa Dar Haswa KINONDONI BIAFRA, KAWE, MBEZI BEACH, TANDIKA MWEMBE YANGA, TEGETA, MANZESE, TANDALE Na BUGURUNI Ndiyo Wanatupatia Rais Wasubiri Waone Mziki Wetu Wana CCM. Hakuna Kitu Kizuri Duniani Kama KUMUONA MTU MPUMBAVU AKIHANGAIKA KUTAKA KUSHINDANA NA WEWE MWEREVU ULIYETUKUKA.
Ratiba ya Kampeni za Ukawa:
KIKOSI CHA CDM 2015:
*Chopa 10
*Mabasi 30
*Magari madogomadogo 500
*Bodaboda 6500
*Baskeli 3000
*ESTER BULAYA
*LEMBELI
*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza musoma na tabora.
*TUNDU LISU
*MAKAIDI
watafanya kampeni singida na Dodoma
*SUGU
*PROF J,
*ADAM ZELLA
*MSIGWA
Watafanya kampeni mbeya, Iringa morogoro na ruvuma
*LEMA
*JOSHUA NASSARI
Watafanya kampeni mikoa ya arusha Kilimanjaro na manyara,Lindi ,mtwara na pwani.
*KAFULILA
*MBATIA
*RWAKATARE
*KUBENEA
*MARANDO
*MTATIRO
Watafanya kampeni D,salaam na Zanzibar.
*SALUM MWALIMU
*MAALIM SEIF
*PLUS TEAM CUF
*JUMA DUNI
*MNYIKA MBOWE
Hawa watazunguka nchi nzima bila kujali kanda.
*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa nyumba
*M4C
Hawa watatembea Kata kwa Kata.
*FRIENDS of LOWASSA Hawa watatapakaa nchi nzima kuleta ushawishi plus CDMA intelligencia watatapakaa nchi nzima kubain wizi, njama na mipango mibaya ya ccm.
Umemaliza Kila Kitu Mkuu Na Kama Wanadhani Wapiga Kura Wa Dar Haswa KINONDONI BIAFRA, KAWE, MBEZI BEACH, TANDIKA MWEMBE YANGA, TEGETA, MANZESE, TANDALE Na BUGURUNI Ndiyo Wanatupatia Rais Wasubiri Waone Mziki Wetu Wana CCM. Hakuna Kitu Kizuri Duniani Kama KUMUONA MTU MPUMBAVU AKIHANGAIKA KUTAKA KUSHINDANA NA WEWE MWEREVU ULIYETUKUKA.
Narudia tena kuwaambia, Lowassa ni chaguo la Mungu..... Haya yote ni makusudi ya Mungu
Ratiba ya Kampeni za Ukawa:
KIKOSI CHA CDM 2015:
*Chopa 10
*Mabasi 30
*Magari madogomadogo 500
*Bodaboda 6500
*Baskeli 3000
*ESTER BULAYA
*LEMBELI
*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza musoma na tabora.
*TUNDU LISU
*MAKAIDI
watafanya kampeni singida na Dodoma
*SUGU
*PROF J,
*ADAM ZELLA
*MSIGWA
Watafanya kampeni mbeya, Iringa morogoro na ruvuma
*LEMA
*JOSHUA NASSARI
Watafanya kampeni mikoa ya arusha Kilimanjaro na manyara,Lindi ,mtwara na pwani.
*KAFULILA
*MBATIA
*RWAKATARE
*KUBENEA
*MARANDO
*MTATIRO
Watafanya kampeni D,salaam na Zanzibar.
*SALUM MWALIMU
*MAALIM SEIF
*PLUS TEAM CUF
*JUMA DUNI
*MNYIKA MBOWE
Hawa watazunguka nchi nzima bila kujali kanda.
*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa nyumba
*M4C
Hawa watatembea Kata kwa Kata.
*FRIENDS of LOWASSA Hawa watatapakaa nchi nzima kuleta ushawishi plus CDMA intelligencia watatapakaa nchi nzima kubain wizi, njama na mipango mibaya ya ccm.
katika watu wako wote hao 22 kwa rekodi ambazo ninazo 20 wapo katika payroll ya ccm na 17 wapo idarani na wanawajibika katika kuleta taarifa zenu. Au unataka nikutajie ili mjione mlivyo mapopoma na watupu kwa ccm? Na kwa taarifa yako tu matola hivi ninavyokuandikia hii post kuna watu 7 katika hiyo list of shame yako ya chadema na ukawa hiyo uliyotutajia hapo wamenipigia simu kuwa nichune na nisiwaumbue na bahati mbaya sana hii id yangu hawaijui na nawachenga na nacheza mno na akili zao. Ukiniruhusu niwataje nitakutajia kisha huko chadema / ukawa kwenu kinuke.
Mkuu subiri kikozi kazi cha campaign za CCM kikiongozwa na fundi January Makamba. Nadhani unanisoma vizuri. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa. UKAWA ya Lowassa inategemea nguvu ya fedha bila maarifa. CCM ina fedha plus vichwa.
lowassa anatisha kweli
kikosi kazi cha mashetani..!!