KV LONDON
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 903
- 242
Mpenzi kesho twende huko NEC basi?
Na wewe sifa zitakuua, situangalie tu kwny TV, maana utakanyagwa utosini
Mpenzi kesho twende huko NEC basi?
Katika Watu Wako Wote Hao 22 Kwa Rekodi Ambazo Ninazo 20 Wapo Katika Payroll Ya CCM Na 17 Wapo Idarani Na Wanawajibika Katika Kuleta Taarifa Zenu. au Unataka Nikutajie ILI Mjione Mlivyo MAPOPOMA Na WATUPU Kwa CCM? Na Kwa Taarifa Yako Tu Matola Hivi Ninavyokuandikia Hii Post Kuna Watu 7 Katika Hiyo List Of Shame Yako Ya CHADEMA Na UKAWA Hiyo Uliyotutajia Hapo Wamenipigia Simu Kuwa NICHUNE Na NISIWAUMBUE Na Bahati Mbaya Sana Hii ID Yangu Hawaijui Na Nawachenga Na Nacheza Mno Na AKILI Zao. Ukiniruhusu NIWATAJE NITAKUTAJIA Kisha Huko CHADEMA / UKAWA Kwenu KINUKE.
CUF itaanza kupanuka Tanganyika nako baada ya Lipumba kujaribiwa na kuangukia mtegoni kwa ccm. Slaa ni kiboko yao, hategesheki kirahisi maana anawajua sana TISS ya ccm
Katika Watu Wako Wote Hao 22 Kwa Rekodi Ambazo Ninazo 20 Wapo Katika Payroll Ya CCM Na 17 Wapo Idarani Na Wanawajibika Katika Kuleta Taarifa Zenu. au Unataka Nikutajie ILI Mjione Mlivyo MAPOPOMA Na WATUPU Kwa CCM? Na Kwa Taarifa Yako Tu Matola Hivi Ninavyokuandikia Hii Post Kuna Watu 7 Katika Hiyo List Of Shame Yako Ya CHADEMA Na UKAWA Hiyo Uliyotutajia Hapo Wamenipigia Simu Kuwa NICHUNE Na NISIWAUMBUE Na Bahati Mbaya Sana Hii ID Yangu Hawaijui Na Nawachenga Na Nacheza Mno Na AKILI Zao. Ukiniruhusu NIWATAJE NITAKUTAJIA Kisha Huko CHADEMA / UKAWA Kwenu KINUKE.
Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly
Lowasa sijui ccm wataibaje hizi kura maana naona kila kona ya nchi wanachama wanazidi kuikimbia ccm,kwa jana pekee wamepoteza zaidi ya wanachama 3000 kuanzia tabora,engaruka, hadi korogwe,hii hali is alarming they have to do something very quickly
Na wewe sifa zitakuua, situangalie tu kwny TV, maana utakanyagwa utosini
asante lowasa kwa kuleta umoja vijana, vijana wa cuf, chadema, nccr tumekuwa kitu kimoja, hata hapa jf kuna member kule celebrities tunatukanana lakini kwa lowasa ni kitukimoja, baadhi ya dada zangu kule mmu tunapigana madongo lakini huku ni kimoja, mabadiliko ni lazima via lowasa
Uuuuwiiiiiiiiiiiiiii....nakufa kwa furahaaaaaaa....
Ukawa, Lowassa yaani hadi naumwa kwa furahaaaaaaaaaaaa.....!!!!
Nafurahaaaaaaaaaaaaaaaaa.....!!!! Lowassa, Ukawa kama Messi, kama Obama, kama Yesu...!!!