ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Hili ni balaa jamani...!!!
Hapo watu hawajatangaziwa kuhusu ujio wake wala nini, Watu wananusa kila alipo huyo Lowassa. Kweli hakuna namna, Huwezi kuyazuia Mafuriko kwa Viganja vya mkono...!!!
Hivi mtu unaanzaje kuwa Mwanaccm kwa Mfano!!!
BACK TANGANYIKA
Upo sahihi mkuu habari ya EL kuwepo kitaa hicho watu hawakuwa na taarifa rasmi lkn wamejaa balaa! mafuriko haya