Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Hata Al Sahaf wakati Baghdad imeshatekwa bado alionekana akiongea kwa mbwembwe nyingi kwenye tv. Nakuombea uhai ushuhudie ccm tunavyoitupa kwenye jumba la Makumbusho october.

Matola, matumaini bila mbinu na uwezo wa kuyafikia ni bure kabisa. Hizi ndizo zinazoitwa ndoto za mchana
 
Ambacho haukijui Dar siku zote ina wapigakura wengi wa ccm na si wapinzani. Wapinzani bado wana karata nzuri mikoani kuliko hata Dar. Wanatakiwa wajipange tu.
Hyo ilikua zamani nyakati zimebadilika sana tena kipindi hichi vijana walijitokeza wengi sana tu. Things are changing
 
Pipooozzz...... Keshio jiji litasimama.. Magufuli pia unakaribishwa kushuhudia tukio la kihistoria
 
asante wana cuf na umma kwa ujumla kwenda kumshuhudia huyo ibilisi ndani ya chama chetu, ila ninauhakika hamtafanya makosa siku ya uchaguzi. umma wetu twamjua hasa nani ni adui yetu, kwa mbowe na huyu lowasa ndo tutamuimalisha adui yetu.
hawa wakaskazini hawapo ikulu lakini watutesa hivi kwenye ajira nono na biashara, hakika wakienda ikulu wanaweza wakatuhamisha nchi. tuwaache wajipigie kura wenyewe
Mawazo yako ni yasheitwani nadhani unakalia kitu cha sheitwani chenye ncha kali vumilia tu bado kidogo !!
 
ImageUploadedByJamiiForums1439130943.256482.jpg ImageUploadedByJamiiForums1439130971.253697.jpg ImageUploadedByJamiiForums1439131010.237272.jpg ImageUploadedByJamiiForums1439131047.582506.jpg
 
Kweli kabisa nasi tutafute chakuwaadisia watoto wetu chama cha ccm si chama chetu vijana tukitoe madarakani" tuanze na kitu kipya tunachokijua ccm imechoka.

Mtaalam,

Hiki chama si kwamba kimechoka tu bali ni Chama Chakavu "Mkweche". Nilikuta watoto wadogo wakiimba. Wengine wanaimba maneno "Chama Chakavu" na wengine wakiitikia "Mkweche". Wimbo ulinoga kwelikweli. Sijayaamini masikio yangu, lakini ni kweli wala haikuwa ndoto.

Maumivu ya kichwa huanza polepole, lakini ...
 
Mkuu ni vitu ambavyo amekubaliana navyo serikali 3 mamlaka kamili Zanzibar Tanganyika iwepo na jamhuri baba yao aendelee kuepo

Kama hili ulisemalo ni kweli basis ni faraja tosha.....
Ila naomba kujuzwa!!!
He km serikali mbili ni mbaya kwa nini ccm wanaitaka???
Mimi pamoja na kuikataa ccm ila naamini kwenye usalama na naamini ukiacha mambo ya ufisad Hamna mwana ccm asiye muumini wa usalama....
Why bara wanataka mbili???
Wajua tatu ni ngumu kumeza??
 
Lowasa ametikisa kwa hoja ipi chanya yenye muelekeo wa kutufanya tuwe matajiri?
 
Back
Top Bottom