Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

Katika MIJAZANO Kama Hiyo HUWEZI Kuwakuta INTELLECTUALS Mkuu Na Hata Humu Humu Tulipo Ni Rahisi Mno Kumjua POPOMA au Siyo POPOMA. Kama Mwenyekiti Wao TAIFA Ni POPOMA ALIYETUKUKA Unashangaa Nini Sasa Mkuu Kuona Hilo NYOMI La Vibaka Na Wakabaji Hapo Buguruni? Na Kuna Mmoja Hapo Namuona Huyo Nyuma Ya Mwenye T- Shirt Nyekundu Ya Simba Mpaka Leo Namdai Na Nina RB Yake Alishawahi Kuniibia Wallet Yangu Mwezi Sasa Umepita. Huo Ni Uthibitisho Tosha Mkuu Na Ngoja Niendelee Kuwatambua Katika Hii Hii Picha Kwani Wapo Wengi Sana Hapo Nawajua.



tutaheshimiana tu ata wewe ni mwizi tumezidiana viwango turn una bisha!!

October utafute chaka
 
Inategemea Huyo Mungu Ni Mungu Gani Mkuu Kwani India Mungu Wao Ni Ng'ombe Na Sisi Wazanaki Mungu Wetu Ni Yule Sokwe Aitwae MUHUNDA Na Kuna Wengine Mungu Wao Ni Simba Huku Wengine Mungu Wao Ukiwa Ni Mti Mkubwa Bila Kusahau Wengine Mungu Wao Ni Paka Na Wengine Ni Sanamu Na Joka Kubwa. Tunaomba Kujua Huyo Mungu Ambaye Chaguo Lake Ni Lowassa Ni Mwenyezi Mungu Huyu Huyu Asiyependa RUSHWA, CHUKI, VISASI, MAUAJI ( Namaanisha Kuwapa SUMU Akina Mwakyembe Na Mwandosya Ili Wafe Lakini Hawajafa Na Leo Bado Tunadunda Nao Mitaani ), TAMAA, USHIRIKINA ( Namaanisha Kuagiza Waganga Kutoka Nigeria, Senegal Na Mali Ambao Sasa Wamepangishwa Hotelini Sinza Na Wengine Bahari Beach Wakiendelea Kufanya Kafara Zao ) Na UMAFIA?

Usinfananishe Mungu na mjomba wala shangazi,Mungu wetu ni wa upendo,Mungu wa rehema,ndio maana unashauriwa unapopishana na mtu usitegemee eti Mungu atamuadhibu kirahisi rahisi hujui mtu alijimimina kiasi gani mbele za Mungu,huku wewe ukijihesabia haki,Mungu wetu si mwepesi wa hasira...ila ni mwingi wa kusamehe.jiulize hichi kibali anakitoa wapi pamoja na maneno yenu kila kukicha yakumchafua...
 
Nakaa najiuliza hivi kweli ndugu lowasa atasimamia misingi ya ukawa??? Je atasimamia Sera za chadema?
Upinzani unahitaji mabadiliko mengi mojawapo ni hili LA serikali tatu....
He muumini wa serikali mbili atasimamia hili au ataachia wananchi waamue??

Mkuu ni vitu ambavyo amekubaliana navyo serikali 3 mamlaka kamili Zanzibar Tanganyika iwepo na jamhuri baba yao aendelee kuepo
 
mtuambie mapema kama wataonyesha kesho kwenye tv uchukuaji fom ili nisiende kazini... mana nshachukia hata kazi ya hawawezi nnaowadai madai kibao hawalipi zaidi ya hadithi tu.
 
Niandikie mtu aliye msafi sio mwizi hana skendo hata mmoja ndani ya ccm niichane kadi yangu ya c.d.m sasa hivi.
Chana tu naona kama hakana thamani ni vunga. Imekuuma najua wewe ni act au ccm maozea ndo mna roho ngumu.
 
magufuli ni mpango wa shetani kuendelea kutawala watanzania.
 
mtaji wa sisiemu ni ujinga na umaskini wa watanzania...
 
Sasa ni wazi nguvu ya Lowassa inazidi kuonekana hasa baada ya leo kutinga katika ofisi za CUF....

Kama hali ndio kama hivi, je kesho itakuwaje atakapoenda kuchukua fomu katika ofisi za NEC. Ambapo msafara utaanzia katika ofisi hizo za CUF saa tatu kamili asubuhi....

More pictures zinakuja.
attachment.php





Msijisahau sana. Numbers speak louder than words. Waliojiandikisha Dar es Salaam ni watu 2.8 million. Lakini waliojiandikisha Tanzania nzima ni 23.8 million. Kwa hiyo 21 million voters wapo nje ya Dar es Salaam. Mjipange sana na huyu ndugu yenu. CCM inashinda mapema sana kwa sababu mtandao wa upinzani ni dhaifu sana kila kona ya nchi. Ni makelele yasio na tija.
 
Last edited by a moderator:
Bila mabadiliko nawaapia hakutaeleweka WARNING! ZITAANZIA KWENYE MITA YAO YENYE MAJUMBA YA KIFAHARI
 
Msijisahau sana. Numbers speak louder than words. Waliojiandikisha Dar es Salaam ni watu 2.8 million. Lakini waliojiandikisha Tanzania nzima ni 23.8 million. Kwa hiyo 21 million voters wapo nje ya Dar es Salaam. Mjipange sana na huyu ndugu yenu. CCM inashinda mapema sana kwa sababu mtandao wa upinzani ni dhaifu sana kila kona ya nchi. Ni makelele yasio na tija.



Umemaliza Kila Kitu Mkuu Na Kama Wanadhani Wapiga Kura Wa Dar Haswa KINONDONI BIAFRA, KAWE, MBEZI BEACH, TANDIKA MWEMBE YANGA, TEGETA, MANZESE, TANDALE Na BUGURUNI Ndiyo Wanatupatia Rais Wasubiri Waone Mziki Wetu Wana CCM. Hakuna Kitu Kizuri Duniani Kama KUMUONA MTU MPUMBAVU AKIHANGAIKA KUTAKA KUSHINDANA NA WEWE MWEREVU ULIYETUKUKA.
 
Ratiba ya Kampeni za Ukawa:

KIKOSI CHA CDM 2015:

*Chopa 10
*Mabasi 30
*Magari madogomadogo 500
*Bodaboda 6500
*Baskeli 3000

*ESTER BULAYA
*LEMBELI
*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza musoma na tabora.

*TUNDU LISU
*MAKAIDI
watafanya kampeni singida na Dodoma

*SUGU
*PROF J,
*ADAM ZELLA
*MSIGWA
Watafanya kampeni mbeya, Iringa morogoro na ruvuma

*LEMA
*JOSHUA NASSARI
Watafanya kampeni mikoa ya arusha Kilimanjaro na manyara,Lindi ,mtwara na pwani.

*KAFULILA
*MBATIA
*RWAKATARE
*KUBENEA
*MARANDO
*MTATIRO
Watafanya kampeni D,salaam na Zanzibar.

*SALUM MWALIMU
*MAALIM SEIF
*PLUS TEAM CUF
*JUMA DUNI
*MNYIKA MBOWE
Hawa watazunguka nchi nzima bila kujali kanda.

*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa nyumba
*M4C
Hawa watatembea Kata kwa Kata.

*FRIENDS of LOWASSA Hawa watatapakaa nchi nzima kuleta ushawishi plus CDMA intelligencia watatapakaa nchi nzima kubain wizi, njama na mipango mibaya ya ccm.
 
Back
Top Bottom