Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Thread zenyewe wapiga kura hawazisomi, na wanaozisoma hawapigi kura.
Sidhani kama unajua kuwa wachangiaji wengi wa jf ni walio nje ya TZ na wengine hawategemei hata kurudi bongo
dah! Wabongo wote tuliojaa humu hadi tunabanana hutuoni!
Itabidi tufanye sensa.