Uenyekiti kamati ya kudumu ya mambo ya nje.ulinzi na usalama....uchochoro huu kwa EL,keshapata pa kutokea teh teh teh...bongo bana!
Mbio za Uraisi hizo, yukpo kwa ajili ya 2015. Siku hizi kila atakalosema lazima wamuonyeshe. Raisi bora hawezi toka CCM
:decision:amewachangia tumilioni tungapi?
Una maana ametembelea Ikulu? Tanzania bila ... Inawezekana!
Lowassa yuko very strategic....no wonder akawa magogoni by Dec 2015!!
Lowassa Hafai hata kuanzishiwa thread jambazi jangiri fisadi nyangumi
Mods tafadhali tupe takwimu wengi ninao wafahamu members ni happa nchini lowassa ukweli ni mwizi haitaji nafasi anayopewaThread zenyewe wapiga kura hawazisomi, na wanaozisoma hawapigi kura.
Sidhani kama unajua kuwa wachangiaji wengi wa jf ni walio nje ya TZ na wengine hawategemei hata kurudi bongo
:decision:
Mchango si lazima uwe wa kifedha. Kuna mchango wa hali, ari na mali. Tusiwe mateka wa mali. Umateka wa mali asili yake ni tamaa na zao lake ni ufisadi
aaah mkuu, inategemea bwana. Sasa huyo bwanamkubwa kaenda kuwaona macho matupu hajawaachia chochote wakati uwezo anao na watu wapo kwenye hali mbaya. Ameenda kuuza sura atoke kwenye media au!:decision:
Mchango si lazima uwe wa kifedha. Kuna mchango wa hali, ari na mali. Tusiwe mateka wa mali. Umateka wa mali asili yake ni tamaa na zao lake ni ufisadi