Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

hellow bibie, naona umeamua kuja na ID mpya, kifupi sion uhusiano wa ugonjwa husika na Lowassa kugombea urais, pia cdhan kama Lowassa alishawah kutangaza kugombea urais, pia niliwaona jana kwe kikao na mabwana zako mkipanga mikakati ya kumchafua Lowassa, stay tuned binti takuja kuanika madudu yako yoote, bado mda mchache!!
 
Lowassa alisafishika lini na tuhuma lukuki???
Ni kwa nini baba wa taifa alimkataa hadharani???
Au zote zilikua ni siasa majitaka???
Kweli watanzania sisi ni wasahaulifu...
Je mwahitaji awe raisi kwa uadilifu gani???
 
Kuna watu wako tayari Mh. Lowasa aitawe Tz hata akiwa kitandani.
Mmmh! I reserve my vote mpaka nishawshiwe kwa sera, hizi ngonjera za humu ni ngumu kujua nani mkweli nani muongo!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu hawa majamaa wa WAMA wanahangaika sana na kutunga mambo ya ajabu ajabu...ni kuwapuuza tu ndio dawa yao kama ulivyowapuuza

Its not only WAMA, watanzania through his forums tumeacha kufocus kwenye real issues za watanzania na kukomalia ushambenga wa kisiasa

We ahve serius issues
 
Hizi propaganda mufilisi zinatia kichefuchefu. Hata kama Lowassa anaonekana hana sifa stahiki za kugombea uRais wa JMT, tusifike mahala sasa kuanza kuzusha vitu visivyokuwepo ili mradi tu watu wenu waliowanunua waonekanE ndio wanafaa.
 
Hii imenikumbusha yule Rais wa nchi moja ya north Africa aliyeletwe kwenye wheelchair kuapishwa kuwa rais wa nchi hiyo.
 
Hizi propaganda mufilisi zinatia kichefuchefu. Hata kama Lowassa anaonekana hana sifa stahiki za kugombea uRais wa JMT, tusifike mahala sasa kuanza kuzusha vitu visivyokuwepo ili mradi tu watu wenu waliowanunua waonekanE ndio wanafaa.

Umenena vyema mkuu, hawa vijana wa WAMA ovyoooo kabisa, wanasikitika kuona mgombea wao anaepigiwa chapuo na mke wa rais Hauziki, so njia wanayoona inafaa ni kuleta kashfa, na matusi kwa watu wengine
 
One thing is very clear now...EL is the strongest candidate in CCM..

Nimeona asubuhi ya leo star TV Dr Kigwangala na Msukuma wanahangaika na propaganda za kumponda EL...Na hapo EL yeye hajatamka kama anautaka huo URAIS wanaotaka kumnyima...Na bado, mpaka kufika 2015 mtasema yote...Na ole wenu EL aupate urais, mtahama...Si mnajua huyu laigwan asivyo na aibu....lazima awavue nguo mchana kweupe...
 
Wapo watakao farijika na habari za kutengenezwa kama hii! Siasa za maji taka sio deal, twendeni na ukweli tu. Tumwambie EL kuwa wapo watu ambao hawapendi ugombee urais. Na ikiwezekana tuwe na opinion poll kupata ushahidi wa yeye kutokukubalika. Hizi porojo mjue zinamuimarisha sana tu
 
Mbona Kikwete ana kifafa lakini amekuwa rais kwa miaka kumi?
 
Duh majungu mengine ni zaidi ya fitina iliyotukuka. Ugonjwa wa mtu unakuhusu nini kuusambaza mitandaoni?
 
One thing is very clear now...EL is the strongest candidate in CCM..

Nimeona asubuhi ya leo star TV Dr Kigwangala na Msukuma wanahangaika na propaganda za kumponda EL...Na hapo EL yeye hajatamka kama anautaka huo URAIS wanaotaka kumnyima...Na bado, mpaka kufika 2015 mtasema yote...Na ole wenu EL aupate urais, mtahama...Si mnajua huyu laigwan asivyo na aibu....lazima awavue nguo mchana kweupe...

Kwani ugonjwa anasingiziwa? Kwa ufupi ni mgonjwa asitake kututia hasara sisi! Kama urais mbona iko wazi kwamba anautaka!! Eti unatuzuga kwamba hajatangaza, kwani kuzunguka kote huko ni bure? Au ulitaka akutangazie akiwa juu ya kin.na cha mkeo ndo ujue kwamba anautaka?
 
Ni mawazo yako haijalishi umeyatoa muda gani ila kwa kuwa unauhuru wa kuongea bila shaka umelitekeleza kwa ufasaha
heshimu mawazo yangu mtu mchafu kama Lowasa hatuwezi kumchagua kuwa raisi WA TANZANIA bora tumchague hata Lema kuwa raisi WA TANZANIA 2015 kuliko fisadi wa ccm LOWASSA
 
lowassa ndio next president,hutaki unaacha

hatuwezi kumchagua fisadi lowasa kuwa raisi labda raisi wa monduli siyo raisi wa tanzania mtahangaika sana hatafanikiwa kamwe
 
Back
Top Bottom