Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Majibu kapewa Mke wa Lowasa, na wewe ndio unatuandikia humu mtandaoni. Sasa hapo mke wa Lowasa ni nani? Napata wasi wasi kidogo

Hahahahah umemaliza kila kitu chief, kumbe huyu Allan naye ni mama lowassa hahahahha, swali zuri sana aiseeeee, big up sana.....kweli we ni GT
 
Jamani nasikia mzungu Charles Dunken kaingia bongo jana, kafata serive baada ya ngenye kumpanda je wajua mtu wa kutoa hiyo serive?
 
I wish angekuwa na uelewa kidogo labda angekupata... Membe, Sitta, Dialo et al watahangaika sana lakini LOWASA ni zaidi ya Mwamba GEU! ... Besides wangekuwa wanajielewa wangeelekeza nguvu zao kumnadi Lowassa ... MKapa kusini! Kabla machungu ya kuuawa kwa Baba wa Taifa hayajaisha, tukashuhudia uuzwaji holela wa Rasilimali za nchi kila kona!!! Grrrr ... Leo hii tunaugulia mikataba mibovu ya Mkapa eti ....Membe mnataka awe Rais!..... Is he a presidential material? Membe hana kigezo hata kimoja cha kuwa kiongozi wa nchi hii...
Na ndio maana hata darasa lilimshinda. Katika ethics za udaktari majibu ya mgonjwa hapewi yeyote zaidi ya mhusika mwenyewe. Tuseme hata kama majibu alipewa mke wa Lowasa aliyaleta kwako badala ya kumkabidhi mmewe? Chanzo chako cha habari hizi ni kipi hata tuuamini utumbo huu. Kwa taarifa yako na wa aina yako ni kuwa mh.Lowassa ni mzima kuliko ninyi wote mnaohangaika na afya yake. Kuhakikisha hilo ni kuwa haipo picha yoyote inayomwonyesha akisinzia kwenye kikao chochote kiwe bungeni au popote pale tofauti na kina Wassira na wengine wengi. Juzi mlimuona Dodoma wakati raisi anakabidhiwa rasimu ya katiba ni mzima kuliko mnavyofikiria. Hivi hao watangaza nia wenu hawauziki mpaka mjaribu kumharibia sifa mh. Lowassa?
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Siyo bure wewe umetumwa na kachero Membe!
 
Acha upuuzi wako ww, ameujua ugonjwa wa Lowassa kama nani wake? Unafahamu miiko ya Udaktari ww mbulula? Mbona wewe Mgonjwa wa siku nyingi na habari zako hazijasambaa humu Jamvini? ... Hao mnao wanadi mbona wana mingwengwe category A?...
Unachopaswa kufanya ni kushukuru mleta mada kwa kukujuza ugonjwa wa Lowasa.
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

Wewe unakuwa chizi! Matokeo ya vipimo ni siri ya daktari na mgonjwa, taabu ya kutumiwa unakuwa condom, bora hata mbayuwayu!
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Mbona watu mna roho za mashetani?? Hivi wewe ni nani? Hata akiugua hawezi kuwa sawa na huyu kila wakati anadondoka majukwaani mnamlisha glucose!! acheni jamani!! Huyu alikuwa POWER HOUSE ya mzee wa kucheka kidemu kidemu ndiyo maana toka aachiwe nchi inayumba kama ngalawa ya muhogo!!
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

Chabruma umerudi kivingine! Hahahaha!
 
Mbaya zaidi wanatumiwa hata bila kutumia akili zao, unaambiwa akili yako changanya na ya kwako....sasa dogo kama huyu Allan hata shule yenyewe kafeli anatumika hapa kama condom badala akomae amalize shule jingaaaaaaa kabisa huyu dogo....nae anatafuta nitoke vipi JF? Hajielewi kabisa huyu dogo

Mkuu huyu dogo ni mtoto wa mzee Kiluvia wa Migombani Street,Regent Estate? Pili ni kweli huyo waziri anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?
 
LOWASSA AWAMWAGIA MAMILIONI YA FEDHA WAISLAM LEO-HUYU NI KIONGOZI WA UMMA, SI MFANYABIASHARA

Posted on 10 Apr by CCM Blog

Waziri Mkuu wa zamani, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akikabidhi kitita cha sh. milioni tano kwa viongozi wa Baraza la Misikiti Tanzania (BAMITA), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa BAMITA, Sheikh Salum Sung'he. Imeelezwa katika makabidhiano hayo kwamba fedha hizo ni kwa ajili ya kuendeleza mipango kazi ya BAMITA katika kuelimisha jamii katika kupunguza maambukizi ya Ukimwi na kudhibiti mimba kabla ya ndoa. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa BAMITA, Alhaj Juma Swalehe. Huu ni mwendelezo wa Lowassa kumwaga mamilioni ya fedha kwa taasisi za kidini ambapo amekuwa pia akimwaga mamilioni kwenye makanisa kupitia

Uchizi mwingine balaa! 5M nayo hela. Shz type muulize mzee wa vijisenti akwambie mamilioni yanaanzia shilingi ngapi?
 
[h=3]Lowassa awapa milioni 20 wafanyabiashara wadogowadogo wa jijini Mwanza !- Lowasa ni kiongozi wa Umma, si mfanyabishara[/h]Saturday, July 06, 2013 Maoni: 0



Mhe. Lowassa akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 20 Bw.Matondo ambaye ni mwenyekiti wa Shirika la Umoja wa wafanyabiashara wadogowadogo wa jijini Mwanza (SHIUMA) huku akishuhudiwa na diwani wa kata ya Nyamagana Bhiku Kotecha (anayepiga makofi).
Bw. Lowassa alisema kwamba kutokana na marafiki zake ambao aliwataja Bw.Christopher Mwita Gachuma (MNEC- Tarime), Bw.Mathias Manga (MNEC-Arumeru), Bw.Raphael Chegeni (MNEC-Busega) Bw.Shanif Hiran Mansoor(Mbunge-Kwimba) na Bw.Altaf Mansoor (Mkurugenzi wa MOIL) ambao waliniomba na kunisisitiza kuwaona na kuwasikiliza nami nimewapa utaratibu wa kuandaa Harambee kubwa ya kuwachangia na marafiki zangu wengine.


“Leo hii siyo harambee bali nataka kuwachangia kianzio katika mfuko wenu na siku zote CCM inasema kwamba ni lazima kuwapatia mtaji vijana hivyo nawapatia Cheki ya milioni 10 na jioni ntwapatia shilingi milioni 10 jumla zitakuwa shilingi milioni 20 za kuanzia ili kujipanga na harambee kubwa






Mmoja kati ya wanakamati wa SHIUMA akionyesha hundi ya shilingi milioni 20 waliyokabidhiwa na Mhe. Lowassa kama sehemu ya harakati ya kutatua masuala mbalimbali ya changamoto zao walizoziainisha kwenye risala.

Rusha tupicha tote Halafu rudi tukukome nyani jiradi!
 
Ukweli mchungu. Masikini 'wake' wa E.N.Lowassa. Huyu bwana kaiharibu kabisa media kwani wahariri wengi wako mfukoni mwake. Is'nt right ABOUBAKAR LIONGO?! Mtanzania anataka urais wetu kwa hela! Amezipata wapi? Kama kakopa atalipaje? Lowassa ni mkosi! Akachunge mbuzi. Basi!
 
Pesa anazoonga makanisani wewe huzioni?, yeye kama mtumishi wa umma hizo pesa kazitoa wapi?, kama hizo pesa anapewa na marafiki zake, atawafanya nini hao marafiki zake iwapo watakwepa kodi wakati yeye akiwa Rais?

Think critically
Nyie hovyo kweli. Kuna shida gani kushawishi watu kuchangia miradi ya maendeleo. Nacho waomba waliochanganyikiwa na mipango kabambe ya Eduward ya kuwania Urais waache kuzusha uongo badala yake wazidishe ubunifu ili mikakati yao iwe na tija zaidi.
 
magamba mtararuana sana mwaka huu.
Ila Lowasa hawezi kuwa rais hata wa ngarenaro.
 
Unachopaswa kufanya ni kushukuru mleta mada kwa kukujuza ugonjwa wa Lowasa.

duuuuhhh!!!!! hata wewe!!!???? kweli nimeamini ccm chama dume lenye majike kemkem!!!! anyway......la kuvunda halina...desh-desh-desh!!!!! aje na mwingine atujuze gonjwa la j f na b m na 6 na.. . . !!!
 
Mkuu huyu dogo ni mtoto wa mzee Kiluvia wa Migombani Street,Regent Estate? Pili ni kweli huyo waziri anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?

Ni kweli kabisa kaka na jamaa anayepiga anaitwa Charles Dunken ni mmerekani...
 
Back
Top Bottom