Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Ukweli mchungu. Masikini 'wake' wa E.N.Lowassa. Huyu bwana kaiharibu kabisa media kwani wahariri wengi wako mfukoni mwake. Is'nt right ABOUBAKAR LIONGO?! Mtanzania anataka urais wetu kwa hela! Amezipata wapi? Kama kakopa atalipaje? Lowassa ni mkosi! Akachunge mbuzi. Basi!

Unaongea kama umepumuliwa kisogoni...
 
dah siasa bana mtu anaumwa wengineh wanafurahia Mungu yupo mie nimtakie heri mh lowasa kama Mungu alipanga awe rais atakuwa tuu
 
Wewe unakuwa chizi! Matokeo ya vipimo ni siri ya daktari na mgonjwa, taabu ya kutumiwa unakuwa condom, bora hata mbayuwayu!
Hahahahahahaaaaaaa! Eti ni siri ya mgonjwa na daktari! Mbona ugonjwa wa Ebola kila kona unatangazwa?
 
Membe mwenyewe hauziki hata kwa dawa kabaki tu kufanya majungu na fitina serikalini......tokea lini mke wa rais atuchangulie rais wa watu millioni 45, never on earth...

Huyo mke mwenyewe hata mtihani wa form four alifeli na Enzi hizo hakuna division five...

Akili ndogo za WAMA noma Sana, saizi wanatumia style ya tukose wote.
 
Ukweli mchungu. Masikini 'wake' wa E.N.Lowassa. Huyu bwana kaiharibu kabisa media kwani wahariri wengi wako mfukoni mwake. Is'nt right ABOUBAKAR LIONGO?! Mtanzania anataka urais wetu kwa hela! Amezipata wapi? Kama kakopa atalipaje? Lowassa ni mkosi! Akachunge mbuzi. Basi!
Umesomeka Mkuu
 
Uchizi mwingine balaa! 5M nayo hela. Shz type muulize mzee wa vijisenti akwambie mamilioni yanaanzia shilingi ngapi?
Mkuu hawa vijana wa WAMA wajinga sana, badala ya wafanye kampeni na kueleza watanzania Membe kalifanyia nini taifa hili wanakuja na issues zao za kupika kila siku, kama huyu dogo kichwani hana kitu anatumiwa ovyo ovyo wakati hata ajui mustakabali wa maisha yake, shule alifeli yeye anaingia katika mambo ya uongo uongo as if yeye ndio mke wa lowassa mpaka atoe ripoti ya afya yake...kuishi na mashoga kazi sana....
 
Huyo mke mwenyewe hata mtihani wa form four alifeli na Enzi hizo hakuna division five...

Akili ndogo za WAMA noma Sana, saizi wanatumia style ya tukose wote.
Yaani kama mnafikia hatua ya kupinga ripoti ya daktari basi nyie mtakuwa mmerogwa
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Kindom!

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Mkuu hawa vijana wa WAMA wajinga sana, badala ya wafanye kampeni na kueleza watanzania Membe kalifanyia nini taifa hili wanakuja na issues zao za kupika kila siku, kama huyu dogo kichwani hana kitu anatumiwa ovyo ovyo wakati hata ajui mustakabali wa maisha yake, shule alifeli yeye anaingia katika mambo ya uongo uongo as if yeye ndio mke wa lowassa mpaka atoe ripoti ya afya yake...kuishi na mashoga kazi sana....
Mkuu, hata kama utakesha humu JF kumtetea bosi wako Lowasa, hutaweza kubadili alichopanga Mungu. Ndo hivyo tena. Ugonjwa ushakolea
 
Hahahahahahaaaaaaa! Eti ni siri ya mgonjwa na daktari! Mbona ugonjwa wa Ebola kila kona unatangazwa?
Mke mwenza wa Nyalandu upo? Nasikia mume wenu Charles Dunken anakuja leo bongo...
Source...Aunti Ezekiel
 
Mkuu, hata kama utakesha humu JF kumtetea bosi wako Lowasa, hutaweza kubadili alichopanga Mungu. Ndo hivyo tena. Ugonjwa ushakolea

Kama miungu yenu ilivyopanga muwe wazeee wa kugawa 071333333333, manake kambi yenu ndio sifa yenu kubwa, kuna nyalandu, wewe, huyu dogo Allan wa pale migombani regent estate
 
Mkuu, umechoka kumtetea Lowasa?

Nimtetee kwa lipi wakati uchapakazi wake na utendaji kazi wake unamuuza as days goes....wambieni mama salma awabadilishie strategies mkizidi kuja na hizi mnazidi kuporomoka tu mpaka mtazidiwa na Kigwangala..."Last month report ya redet naona imewapendelea kwa kuwapa nafasi ta 5 out of 7
 
Back
Top Bottom