Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa kwishne!!

Huwezi kushindana na Mungu. Huyu fisadi wakti wote amekuwa anajaribu kujitakasa na kujisafisha katika juhudi zake za kuingia Ikulu. Keshaenda mpaka kwa Nabii Joshua, Israel n.k. ili kupata baraka za kuwa Rais lakini hakuna.

Kuna msemo ambao Lowassa na mafisadi wenzake ndani ya CCM wanatkiwa kuuzingatia. Kwamba.''When God says NO there is none can say YES''!! Huu ni ukweli ambao Lowassa hawezi kubishana nao.

Stay tuned............
 
Lowassa kwishne!!

Huwezi kushindana na Mungu. Huyu fisadi wakti wote amekuwa anajaribu kujitakasa na kujisafisha katika juhudi zake za kuingia Ikulu. Keshaenda mpaka kwa Nabii Joshua, Israel n.k. ili kupata baraka za kuwa Rais lakini hakuna.

Kuna msemo ambao Lowassa na mafisadi wenzake ndani ya CCM wanatkiwa kuuzingatia. Kwamba.''When God says NO there is none can say YES''!! Huu ni ukweli ambao Lowassa hawezi kubishana nao.

Stay tuned............

We huyo mungu wako ulimsikia wapi? Hata yeye ana Mungu wake na Mungu anasemehe yote iweje asimsamehe lowassa? Tuache chuki
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Ndugu pole sana kwa ushabiki wa kisiasa,sasa hata kama ni mgonjwa wewe una nini cha ziada hata ulete habari kama hii kiushabiki? Mbona watanzania hampendi kuombeana mema katika hali za afya? Tumwombe Mungu atujalie tupate viongozi wenye utu na maadili na wenye afya njema.
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

Ni taarifa ya kimbeya ya mwaka humu jamii forum! unastahili kuzawadiwa
 
habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe lowassa mama regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa ccm mwanza mhe antony diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

hii vita ya mnyukano wa wanaccm nimeipenda sana.. Maana itatusaidia sana sisi huko mbeleni.. Yani mkiendelea kunyukana hivi aaaaaaaaah ndio burudani kwetu.. Mkuu endelea kumwaga vitu
 
ndugu pole sana kwa ushabiki wa kisiasa,sasa hata kama ni mgonjwa wewe una nini cha ziada hata ulete habari kama hii kiushabiki? Mbona watanzania hampendi kuombeana mema katika hali za afya? Tumwombe mungu atujalie tupate viongozi wenye utu na maadili na wenye afya njema.
huyu jamaa anajua kweli kuleta ushabikuna wake.. Ila nimeshangaa eti issue kubwa itakayo mdhuru fisadi lowasa ni kugombea urais tu. Inamaana hakuna shughuli nyingine itakayo mdhuru kiafya zaidi ya kuutafuta urais???
 
Mkuu Allan Halid Kiluvia bahati nzuri wewe si verfied user laiti mheshimiwa Pasco angejua unaishi wapi,unakunywa wapi,unatembelea maeneo gani hakika leo ungekuwa na manundu uso mzima mwenzio anajiandaa kuchukua nafasi ya ukurugenzi wa mawasialano magogoni wewe unaleta habari zisizo na kichwa wala miguu ha ha haha ha.


Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
 
Last edited by a moderator:
Hivi jaman mbona ujinga hivi we mtu ananunua kula kwa nguvu afu hadharani afu bado mnashadadia ooh lowasa lowasa jaman acheni ujinga huo haya ....yani utafikiri mmelishwa bang za ujinga ndo mkapost uzandiki wenu endeleeeni tu kutumika mala membe mala lowasa mi nawecheki tu sa ngoja ifikia sehemu alliance zote ziwe na nguvu sawa muone ka hajachaguliwa magufuli shobokeni tu sana na huo upambe upambe.......
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Hapa kwenye red imekaa kiushabiki zaidi.
 
Lowasa anaadhibiwa na Mungu kwa kutumia nyumba za Ibada kujisafisha na kashfa za ufisadi

Kwa kuthibitishaa hili ,dunia imejawa n'a ibada ya Kila namna Hii ni ishara mwanadamu anatafuta njiaa ya kumkaribia mungu wake... Yupo aliyezaidi ya mwanadamu naye ni mungu pekee ,hatima zote mikononi mwake .....Mapovu yatawatoka sana Kwa kupambana na sauti ya mungu....Edward lowassa umejaliwa Moyo wa kutoaaaaaaa......kutoa ni Moyo Baba
 
endeleeni kusema Lowasa ni mgonjwa yeye anazidi kupeta na sisi wananchi tunamwombe kwa Mungu azidi kumlinda na kumpa nguvu ili mwaka ujao achukue nchi.tunajua hata baathi ya wana ccm wanamwogopa sana Lowasa kwa utendaji wake wa kazi ndio maana kila siku ni Lowasa lowasa tuu lakini kweli Mungu yuko upande wake atashinda.
 
Lowassa kwishne!!

Huwezi kushindana na Mungu. Huyu fisadi wakti wote amekuwa anajaribu kujitakasa na kujisafisha katika juhudi zake za kuingia Ikulu. Keshaenda mpaka kwa Nabii Joshua, Israel n.k. ili kupata baraka za kuwa Rais lakini hakuna.

Kuna msemo ambao Lowassa na mafisadi wenzake ndani ya CCM wanatkiwa kuuzingatia. Kwamba.''When God says NO there is none can say YES''!! Huu ni ukweli ambao Lowassa hawezi kubishana nao.

Stay tuned............

Ahaaaaahaaaa ,lowassa ndiye Rais subiriaaa 2015 mtajibebaaaaa
 
Kwani ugonjwa anasingiziwa? Kwa ufupi ni mgonjwa asitake kututia hasara sisi! Kama urais mbona iko wazi kwamba anautaka!! Eti unatuzuga kwamba hajatangaza, kwani kuzunguka kote huko ni bure? Au ulitaka akutangazie akiwa juu ya kin.na cha mkeo ndo ujue kwamba anautaka?

Tulieni awanyoe p.u.m.b.a.f.u
 
Back
Top Bottom