Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Duh......CCM kuna usemi anapenda kuutumia mwenyekiti wenu Taifa J.K..... ;Tunajenga Nyumba moja ya nini kugombea fito;
 
View attachment 220315

Watanzania wenzangu tunahitaji kuwa na Rais mgonjwa kama Lowasa anae vuja mate hovyo nakusaidiwa kufutwa kama mtoto anaelishwa chakula?

Ataweza mikiki mikiki ya uchaguzi na mikiki mikiki ya urais?


Watanzania tutie akili kichwani mtu kama huyu mwenye afya kama hii analazimisha kuingia ikulu kwa gharama yoyote ile huku akijua na huku TUKIJUA afya yake ni mbovu kweli anania na TUNANIA njema nataifa hili?

Au anataka na tunataka kuliingiza taifa kwenye janga lakurudiwa uchanguzi ndani ya miezi 12 tu?,

Tukumbuke maneno ya mwalim nyerere "ikulu ni mzigo mtu yoyote anae penda kukimbilia ikulu kwa ghalama yoyote ile niwakumuogopa kama ukoma"
Kwa afya ya Lowasa anakimbilia ikulu kufanya nini?

Wapambe wake ambao wanapiga kampeni usiku na mchana kwasasa twaweza kuwaita niwahuni watupu kwakuwa mienendo yao miimo yao sasa inatambuliwa kwa kwa vyeo walivyojipangia/jigawia sasa kana kwamba tayari Lowasa ni rais,


Je hawa wahuni wanataka Lowasa aingie ikulu wafaidike nini? Washauri wakaribu wa Lowasa akiwemo Apson Mwang'onda hawamshauri juu ya udhoofu wa kiafya badala ya tamaa madaraka?

Watanzania tulilinde taifa kwamtafuta rais bora na mwenye afya thabiti kwa uhai wa taifa hili.

ZINGATIENI, Rais bora wa Tz karne hii kuanzia mwaka 2015 nakuendelea hayupo ndani ya ccm bali yupo ndani ya UKAWA.


cc Mtela Mwampamba, Kimeta wa mpui, Sambara ole, nk


Kalipe kwanza laki 3 ya Dogo uliyomtapeli achana na Rais mtarajiwa we mwenyewe usikute maiti inayotembea maana jina ka Nyerere umelitumia vibaya we mpiga Plasta
 
Last edited by a moderator:
Malimwengu hayo.Hivi mnaogopa kivuli cha Lowassa kwa kumpaka paka matope,Je akinguruma kwa kuchukua form ya kugombea ?
 
kuna mgombea gani ndani ya ccm hajawahi kuumwa? rais mwenyewe juzi tu katoka kuumwa. hakuna alie kama malaika sote ni binadamu acheni kumchafua lowasa!
 
View attachment 220315

Watanzania wenzangu tunahitaji kuwa na Rais mgonjwa kama Lowasa anae vuja mate hovyo nakusaidiwa kufutwa kama mtoto anaelishwa chakula?

Ataweza mikiki mikiki ya uchaguzi na mikiki mikiki ya urais?


Watanzania tutie akili kichwani mtu kama huyu mwenye afya kama hii analazimisha kuingia ikulu kwa gharama yoyote ile huku akijua na huku TUKIJUA afya yake ni mbovu kweli anania na TUNANIA njema nataifa hili?

Au anataka na tunataka kuliingiza taifa kwenye janga lakurudiwa uchanguzi ndani ya miezi 12 tu?,

Tukumbuke maneno ya mwalim nyerere "ikulu ni mzigo mtu yoyote anae penda kukimbilia ikulu kwa ghalama yoyote ile niwakumuogopa kama ukoma"
Kwa afya ya Lowasa anakimbilia ikulu kufanya nini?

Wapambe wake ambao wanapiga kampeni usiku na mchana kwasasa twaweza kuwaita niwahuni watupu kwakuwa mienendo yao miimo yao sasa inatambuliwa kwa kwa vyeo walivyojipangia/jigawia sasa kana kwamba tayari Lowasa ni rais,


Je hawa wahuni wanataka Lowasa aingie ikulu wafaidike nini? Washauri wakaribu wa Lowasa akiwemo Apson Mwang'onda hawamshauri juu ya udhoofu wa kiafya badala ya tamaa madaraka?

Watanzania tulilinde taifa kwamtafuta rais bora na mwenye afya thabiti kwa uhai wa taifa hili.

ZINGATIENI, Rais bora wa Tz karne hii kuanzia mwaka 2015 nakuendelea hayupo ndani ya ccm bali yupo ndani ya UKAWA.


cc Mtela Mwampamba, Kimeta wa mpui, Sambara ole, nk

acha upumbavu wewe hakuna asiye umwa wewe hujawahi umwa? au umetumwa uandike ushenzi? rais wetu juzi tu katoka kutibiwa maana yy ni binadamu ka sisi! huna jipya hapo! kama lowasa mgonjwa mwache akatibiwe mungu akipenda atapona na mungu akipenda atakuwa mkuu wa nchi ni nani huwa haumwi? hiyo ni kawaida tu. acha siasa nyepesi na cheap popularity
 
Last edited by a moderator:
View attachment 220315

Watanzania wenzangu tunahitaji kuwa na Rais mgonjwa kama Lowasa anae vuja mate hovyo nakusaidiwa kufutwa kama mtoto anaelishwa chakula?

Ataweza mikiki mikiki ya uchaguzi na mikiki mikiki ya urais?


Watanzania tutie akili kichwani mtu kama huyu mwenye afya kama hii analazimisha kuingia ikulu kwa gharama yoyote ile huku akijua na huku TUKIJUA afya yake ni mbovu kweli anania na TUNANIA njema nataifa hili?

Au anataka na tunataka kuliingiza taifa kwenye janga lakurudiwa uchanguzi ndani ya miezi 12 tu?,

Tukumbuke maneno ya mwalim nyerere "ikulu ni mzigo mtu yoyote anae penda kukimbilia ikulu kwa ghalama yoyote ile niwakumuogopa kama ukoma"
Kwa afya ya Lowasa anakimbilia ikulu kufanya nini?

Wapambe wake ambao wanapiga kampeni usiku na mchana kwasasa twaweza kuwaita niwahuni watupu kwakuwa mienendo yao miimo yao sasa inatambuliwa kwa kwa vyeo walivyojipangia/jigawia sasa kana kwamba tayari Lowasa ni rais,


Je hawa wahuni wanataka Lowasa aingie ikulu wafaidike nini? Washauri wakaribu wa Lowasa akiwemo Apson Mwang'onda hawamshauri juu ya udhoofu wa kiafya badala ya tamaa madaraka?

Watanzania tulilinde taifa kwamtafuta rais bora na mwenye afya thabiti kwa uhai wa taifa hili.

ZINGATIENI, Rais bora wa Tz karne hii kuanzia mwaka 2015 nakuendelea hayupo ndani ya ccm bali yupo ndani ya UKAWA.


cc Mtela Mwampamba, Kimeta wa mpui, Sambara ole, nk

Aibu kubwa sana kwako Yeriko.
Sijui umejificha wapi siku hizi baada ya mihemko ya kisiasa kukulazimisha kumeza matapishi yako.
Staha na akiba ya maneno ni vitu vya muhimu sana.
 
Last edited by a moderator:
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

ni aibu iliyoje? Lowasa anapeta sio wale waanguka kifafa.
 
Duh nimegundua TeamLowasa ilikua Ccm naangechukua nchi hatakama angekua Ccm, haya mabadiliko wanayo imba porojo tu
 
Back
Top Bottom