Pima mwenyewe
JF-Expert Member
- Nov 20, 2012
- 891
- 237
Zimesambaa mitandao gani mbona jf hakuna na wewe naye huna
Punguza kuhemewa kisogoniLowassa Kwisha habari yake. Chagadema Kwisha habari yao.
Wa Tanzania Tumeamua hata kama LOWASA atakuwa hoi kitandani ataapishwa hapo hapo kwa hiyo wewe mleta newz kawaambie wenzako hivi watanzania wemeisha choka na ccm na propaganda zenu zote mwaka huu ccc kifi cha MENDE CHAALIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ugonjwa wake ni wa kusahau hata jina lake siku hizi halikumbuki, utamsikia naomba kura zenu tu. Rais ndio symbol ya nchi, hatutakiwi kuwa na shaka shaka nae,usalama wa nchi yote uko kichwani kwake. Hatutaki tumchague lowasa aongoze Sumaye.
Kwani siku hizi anatumia dakika ngapi kuhutubia?
Huyu mzee simpendi,lakini huwa sioni kama ni jambo la busara kumsimanga afya yake,suala la kuwa mgonjwa halijalish wewe ni tajiri au maskini.tumponde kwa mengine lakini mambo ya afya yake tumuachie yeye na mungu wake.
Lowassa Kwisha habari yake. Chagadema Kwisha habari yao.
Haswaaaaa!Rais wetu huyo akuna anaye weza badilisha
Hata kanisani na misikitini hawasomi vitabu vitakatifu kurasa zoote ndio uelewe, michache tuu lakini jumbe nzito zinawafikia watu then watawanyike wakaendelee na majukumu yao! maneno maneno meeeeengiiiii hata MUNGU kakataza maana mwishowake ni uongo mtupu ndani ya miaka 50!Kwani siku hizi anatumia dakika ngapi kuhutubia?