Lowassa apigwa shinikizo kali

Lowassa apigwa shinikizo kali

Haya yote ..ni... "alisema".... "anashinikizwa"....."ooo atatoa maamuzi magumu "na kadhalika!
Katika demokrasia ya kweli kila mtu ana uhuru wa kujiunga na chama chochote alicho na mapenzi nacho au kuhama chama alichojiunga!.... LET HIM DECIDE and let him speak it out by himself through his mouth not through agents!!!.
Atakapo sema basi atakuwa kaitumia haki yake ya kidemorasia kikamilifu. Na sisi wafuasi au washabiki pia tunapaswa kutumia demokrasi yetu kikamilifu kwa kushawishi watu tunawaona wanafaa kugombea vizuri.. wateule wetu wasipopitishwa na vikao husika hatuna haki ya kung'ang'ania kisicho riziki. Demokrasia kwa maneno mepesi ni haki ya kuchaguliwa au kutokuchaguliwa. Ndio maana kwenye uchaguzi kuna chaguo la kwanza na pili na la tatu .. basi tufikirishe vichwa vyetu kama wateule wengine wanaweza kutuletea matarajio yanayokaribiana na chaguo letu la awali basi hao ndio chaguo mbadala

Tukumbuke tamaa mbele mauti nyuma. Tusitake kutumia nafasi na changamoto za Lowasa kuendeleza matamanio yetu yasiyo na maslahi kwa demokrasi na nchi yetu. Niliogopa kidogo kuna kauli zinazoshawishi nchi nzima iwake moto kisa mtu mmoja hajapitishwa kugombea urais. I hope this is not true and someone is in a deep sleep dream!
 
Lowassa ni kiongozi bora na mwenye mvuto mkubwa kwa sasa katika siasa za tanzania. Maamuzi yeyote atakayochukua yatakiathiri sana ccm na pengine kukiongezea majeraa zaidi ya iliyonayo sasa na itakayoyapata baada ya uchaguzi. Hili magufuli hana uzoefu nalo na hata liweza labda baada ya miaka mitano au sita.

Kura yangu bado inabaki kwa lowassa na kama siyo lowasa basi dr slaaa. Hao wengine nitafikiria

Huo mvuto wake aliuficha wapi Arusha mjini wakati Batilda Buriani anatandikwa makofi na Lema? Umesahau hata kichapo cha Nassari kwa mkwe wa Lowassa kule Arumeru? Na kama kweli anaamini yeye ana 'wafuasi' wengi kwanini anang'angania CCM? Why?

Narudia, watu wameahidiwa vyeo sasa wanataka kumpeleka Lowassa kibla wakimdanganya kuwa ana 'wafuasi wengi'! Tafuteni namna nyingine ya kuishi mjini lakini Lowassa ameshakatwa. Mwisho!
 
nyakati zimebadilika
enzi unazo sema kulikuwa hakuna kura za maoni vyama vya upinzani
watu wengi walikuwa ccm
siku hizi watu wanazaliwa hadi kufika miaka 40 hawajawahi kuwa CCM

muache ajaribu bahati yake

Mkuu The Boss thumb up,

Mimi nina miaka 48 sijawahi kuwa CCM na sitakaa niwe CCM kwa umri huu nilionao, zamani baada ya ile vita ya kagera watu walilazimika kuwa CCM ili wapate huduma kwenye maduka ya RTC ukizingaatia na ile operation uhujumu uchumi iliyopelekea bidhaa kuwa adimu sana
 
Last edited by a moderator:
Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!


Ushauri wa porini!
 
Wacha kumtishia nyau MH.EDO.... naiona hofu yako kwa mbaaali, hatuishi kwa mifano tunaishi kwa mambo hai!!! Moi alipigwa chini kwa mifano hiyo hiyo ya kutishia nyau, haraka ya nini mkuu, subiri tu utaona makubwa yako njiani yaja huwezi kuzuia MABADILIKO kwa mikono..:bowl:
 
Wacha kumtishia nyau MH.EDO.... naiona hofu yako kwa mbaaali, hatuishi kwa mifano tunaishi kwa mambo hai!!! Moi alipigwa chini kwa mifano hiyo hiyo ya kutishia nyau, haraka ya nini mkuu, subiri tu utaona makubwa yako njiani yaja huwezi kuzuia MABADILIKO kwa mikono..:bowl:
 
Huo mvuto wake aliuficha wapi Arusha mjini wakati Batilda Buriani anatandikwa makofi na Lema? Umesahau hata kichapo cha Nassari kwa mkwe wa Lowassa kule Arumeru? Na kama kweli anaamini yeye ana 'wafuasi' wengi kwanini anang'angania CCM? Why?

Narudia, watu wameahidiwa vyeo sasa wanataka kumpeleka Lowassa kibla wakimdanganya kuwa ana 'wafuasi wengi'! Tafuteni namna nyingine ya kuishi mjini lakini Lowassa ameshakatwa. Mwisho!

Mimi sio ccm na wala sinto mpigia kura yeboyebo kwa hiyo usitake kunichanganya
 
Wacha kumtishia nyau MH.EDO.... naiona hofu yako kwa mbaaali, hatuishi kwa mifano tunaishi kwa mambo hai!!! Moi alipigwa chini kwa mifano hiyo hiyo ya kutishia nyau, haraka ya nini mkuu, subiri tu utaona makubwa yako njiani yaja huwezi kuzuia MABADILIKO kwa mikono..:bowl:

Wacha wewe! Mafuriko yalizuiliwa kwa kalamu na karatasi itakuwa hayo mabadiliko? Hamna kitu hapo, Lowassa kwishnei kabisa!
 
Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!

Biadamu mwenye kufanikiwa hakati tamaa huwa anasikiliza sauti ilipo ndaniyake
na katika kutimiza ndoto zako hupiti njia moja inapozibwa moja unaangalia njia nyingine na binadamu jasiri hakati tamaa kisa fulabi alishindwa waoga na wasiojitambua tu ndio hukata tamaa hata kabla hawajajaribu.Hivyo kama EDO anatamani kufikia lengo lake mie nakubaliana naye japo mlango no,1 umetiwa kufuli bado iko milango mingine yenye ufunguo ni yeye kufungua na kuingia kutimiza ndoto yake na yawengine kukata tamaa ni unyonge
 
Akitoka ndani ya CCM hata maisha yake siyo mbali kufika mwisho.
Halafu mimi sielewi kama walikuwa 38 akachaguliwa mmoja mbona hao wengine wote wameamua kukijenga chama chao hata kama kinaonekana kuwa na Siha mbaya mbele ya Hadhira?

Yeye ana kitu gani cha pekee alichonacho asichoweza kumshauri Magufuli kama ni kizuri kikafanyiwa kazi?mpaka atake kuingia ikulu mwenyewe?

Sasa ndiyo naelekea kuamini kuna kitu kimejificha moyo mwa Lowasa na siyo kizuri kwa Watanzania Lowasa atatugharimu.

Mtu mmoja alisema kuwa "Sumu hainjwi"ila huyu jamaa akihama na kwenda Upinza halafu Watanzania tukamchagua kuwa raisi tutakuwa tumeonja Sumu na kiukweli ukionja Sumu kuna matokeo ya kufa tu na utakufa tu maana hamna namna nyingine.
Mungu ajusamehe ndg yangu! Unamshambulia mzee Lowasa kwa maneno ya watu!!!! Siku akiongea lolote inaonyesha utajiua!!! Subiri Lowada aongee ndipo umhukumu!!!
 
Rais anayekuja atakuwa amewatendea haki watanzania akiliunganisha hili fisadi na kina Mramba huko jela.

Mkuu umeifanya siku yangu iende vizuri,yani natamani Magufuri aingie leo kesho mjengoni,ili huyu Mamvi apate Bakshishi yake.
 
Lakini watanzania,hebu tujaribu kuwa realistic na kuvinjali hali halisi ya nchi yetu. Mimi ni miongoni ya ambao simpendi Lowassa kabisa lakini si kwa sababu ya madai ya ufisadi wake, lakini namna ambavyo ni miongoni na alikuwa kiongozi wa juu kabisa katika serikali ya CCM ya kifisadi na hilo hakuwa tayari kulisema na kulishughulikia wakati huo. Nimekuwa nikisema na nitarudia tena, kimsingi sisi watanzania wengi kama sio wote tu mafisadi kwa viwango tofauti. Polisi, mwalimu, hakimu, hata raia wa kawaida kabisa kitu kidogo is an order of the day. Alichofanya Lowasa na kuingia kwenye list of shame ni ufisadi katika level yake na labda akawa mjanja zaidi na kuzidi wengine kimapato na ndio umaarufu alionao wa jeuri ya pesa.

Kwa mantiki ya juu hapo kuna haja ya kuwa na umoja wa kitaifa kama walivyo fanya South Africa kusamehe apartheid, ama Rwanda genocide,ywaweza fanya hivyo hivyo kwa ufisadi ama kwa kuwataka warudishe sehemu ya utajili walio jichotea, au hata kukubali yaishe waendelee kuwa matajili wetu.

Na kwa hakika tukikubali hili nakubali Lowassa akubalike upinzani, sioili agombee urais, bali aje kutubu na kusupport upinzani kwa pesa yake kwa influence yake, kwanguvu zake zote huku akipiga lampeni nchi nzima dhidi ya CCM na kutuambia yote pamoja na yeye walivyokuwa wakifanya. Hakika nakuambieni, kama kambi ya upinzani watamhakikishia amnesty, na kwa kuwa ni mtu anajua ssiri zote za CCM na serikali yake, wananchi wataimwaga CCM asubuhi sana na Lowassa atasamehewa kama mtu alkye wezesha mabadiliko na safari ya matumaini itakuwa imeanzia hapo. Bado nakubaliana naye kuhusu safari ya matumaini, lakini abadili approach. Lakini kama anaona ni yeye tu ndio lazima awe rais, tafasili ya CCM na upinzania haitakuwa tofauti kwa nini anataka yeye tu? Ana agenda gani?

Nawasiliasha
 
Lakini watanzania,hebu tujaribu kuwa realistic na kuvinjali hali halisi ya nchi yetu. Mimi ni miongoni ya ambao simpendi Lowassa kabisa lakini si kwa sababu ya madai ya ufisadi wake, lakini namna ambavyo ni miongoni na alikuwa kiongozi wa juu kabisa katika serikali ya CCM ya kifisadi na hilo hakuwa tayari kulisema na kulishughulikia wakati huo. Nimekuwa nikisema na nitarudia tena, kimsingi sisi watanzania wengi kama sio wote tu mafisadi kwa viwango tofauti. Polisi, mwalimu, hakimu, hata raia wa kawaida kabisa kitu kidogo is an order of the day. Alichofanya Lowasa na kuingia kwenye list of shame ni ufisadi katika level yake na labda akawa mjanja zaidi na kuzidi wengine kimapato na ndio umaarufu alionao wa jeuri ya pesa.

Kwa mantiki ya juu hapo kuna haja ya kuwa na umoja wa kitaifa kama walivyo fanya South Africa kusamehe apartheid, ama Rwanda genocide,ywaweza fanya hivyo hivyo kwa ufisadi ama kwa kuwataka warudishe sehemu ya utajili walio jichotea, au hata kukubali yaishe waendelee kuwa matajili wetu.

Na kwa hakika tukikubali hili nakubali Lowassa akubalike upinzani, sioili agombee urais, bali aje kutubu na kusupport upinzani kwa pesa yake kwa influence yake, kwanguvu zake zote huku akipiga lampeni nchi nzima dhidi ya CCM na kutuambia yote pamoja na yeye walivyokuwa wakifanya. Hakika nakuambieni, kama kambi ya upinzani watamhakikishia amnesty, na kwa kuwa ni mtu anajua ssiri zote za CCM na serikali yake, wananchi wataimwaga CCM asubuhi sana na Lowassa atasamehewa kama mtu alkye wezesha mabadiliko na safari ya matumaini itakuwa imeanzia hapo. Bado nakubaliana naye kuhusu safari ya matumaini, lakini abadili approach. Lakini kama anaona ni yeye tu ndio lazima awe rais, tafasili ya CCM na upinzania haitakuwa tofauti kwa nini anataka yeye tu? Ana agenda gani?

Nawasiliasha
 
Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!

Ushauri wako ungekuwa wa maana kama ungeondoa maneno ya serikali na kuweka CCM inaelekea uelewa wako bado ni mdogo sana juu ya uendeshaji wa nchi. Serikali itakuwepo tu hata ccm ikifa.
 
nyakati zimebadilika
enzi unazo sema kulikuwa hakuna kura za maoni vyama vya upinzani
watu wengi walikuwa ccm
siku hizi watu wanazaliwa hadi kufika miaka 40 hawajawahi kuwa CCM

muache ajaribu bahati yake

Umri ule na afya yake ile ahame chama atajivunjia heshima tu na asifanikiwe anachotaka.
 
Lowassa ana mamilioni ya wafuasi, makundi kwa makundi Waalimu, Machinga, Bodaboda, vijana, Mama ntilie, Wafanya kazi, wakristo, waislam, maaskofu, masheikh, wafugaji, wakulima, UVCCM, BAVICHA, UWT, BAWACHA, CCM 80%, CHADEMA, CUF, ACT....

Yaani hakuna wa kuweza shindana nae ktk mbio za Urais kwa sasa, hakuna kabisa... na anajua mbinu nyingi sana za ushindi, he is very very ahead of game, very strategic...

Atashinda mapema mnoooo, na uhakika, akitangaza tu kwenda UKAWA, mamilioni ya wananchi wa kila aina, watamfuata kwa mamilioni, utakuwa ndio mwanzo wa Tanzania mpya..
 
lowasa kwa jinsi alivyodhalilishwa dodoma ana option mbili tu. nazo ni kuachana na siasa na ccm pia au kutoka ccm na kujiunga na upande mwingine. nje ya hapo lowasa amekwisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom