Lowassa apigwa shinikizo kali

Lowassa apigwa shinikizo kali

Cha ajabu akibaki ccm haifi
Kila mtu sna haki ya kujiunga na chama chochote kwa wakati wowote
 
Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!




Napingana na wewe kwa nguvu zote.
Hii nchi ni ya demokrasia .Hizo siasa za kutishana zepitwa na wakati.
Na mpango wowote wa kumdhuru Lowasa utatibuliwa na Mungu mwenyewe. Kumbuka jinsi CCM walivyosubiri dili lao la kifo cha Lowasa kwa muda mrefu huku wakishangilia afya yake ikizorota lakini cha ajabu afya yake iliumarika kwa kasi kuelekea mchakato. Huu ni ushahidi wa kuona jinsi Mungu atakavyoiangusha CCM .
C CM ni chama kilichoumiza na kuwatesa watanzania wengi sana. Watu wamedhulumiwa sana ndani ya mfumo wa CCM . Watanzania wengi wanakilio kikuu kwa Mungu juu ya dhuluma za mfumo mbaya wa CCM.
Lowasa hana cha kupoteza ndani ya CCM kwa umri alio nao.
Hata Dr. Slaa alitishiwa maisha sana lakini mpaka leo yupo. Mrema mpaka ngozi yake imebabuka lakini yupo. Sokoine aliuawa na hakuna hatua zilizochukuliwa zaidi ya unafiki wa kumuenzi.
Loliondo watu wameporwa ardhi yao wakapewa wageni huku nyumba zao zikichomwa moto.
Bulyanhulu watu walipoteza maisha ,Mwembe chai waislam waliuawa ,Zanziba watu waliua kwa chuki za CCM,Mtwara ,Arusha n.k. Damu za watu wema za wazi zimejaa kupitia hiki chama cha kijani. Leo wanatudanganya kwamba Liwasa ni hatari kwa usalama wa nchi.

Sio kweli bali Lowasa ni hatari kwa ustawi wa CCM na dhulma zao.
Kitengo cha kuwatisha watu sasa basi. Wao nao sasa wajiandae kuishi kwa hofu. Haiwezekani nchia maakini kama hii tuendelee kutawaliwa na chama jimoja bila upinzani imara na wabunge wanaojitambua.

Lowasa atapata heshma kubwa akitoka hadharani na kujiondoa kwenye siasa za CCM.
Lowasa akiendelea kubaki CCM ni wazi kuwa atakuwa ni msaliti wa taifa hili na atakua amewasaliti watu waliosimama na kuonyesha ukiukwaji mkubwa wa kanuni uliofanywa na chama chake.

Kitengo maalum ndani ya CCM ni janga kwa taifa hili lenye mfumo wa vyama vingi. Hakuna mtu atakayeendelea kukubali Nape atumike kuchakachua kura za mamilioni ya watanzania watakaomchagua mpinzani kwa manufaa yake mwenyewe.

CCM walipaswa kumkatalia Lowasa wakati wa kuchukua form ili ajue kuwa hastahili. Walichofanya ni kutumia ubabe kumdhalilosha ili atakapotumia uhuru na demokrasia yake kwa wananchi basi watumie vitisho kumuogopesha.

Kuna uovu mkubwa uliojificha ndani ya CCM na sio kwa Lowasa kama mnavyodai. Lowasa kinachotumika ni ukanda anotoka na dini yake na sio vingine. Na wale waliotumia muda mwingi kumchafua wameaibika kwani nao wameambulia patupu.


Na bila shaka CCM mwaka huu itaaibika sana pamoja na kuanza kampeni mapema.
 
Big up mkuu.
Umetoa analysis nzuri sana
Kama kweli CCM Wanaona lowassa akihamia Cdm itakufa hawakuwa na sababu ya kuanika siri zao hadharani.
Wangepiga kimya ili wapite hapo hapo

Eti fisi amshauri mwenye bucha, inaingia akilini kweli
 
mapanya buku yako lumumba maandakini.Mkwere kumuachia furushi la kinyesi makomeo hali mbaya
 
Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!

Ni aheri mtu afe akiwa anapigana kuliko kuchinjwa ukiwa umepiga magoti
 
Haya haya hayaaaaaaa.....mambo yanazidi kunoga....na october isifike mapema ili wananchi wa tanzania tumjue kwa undani yule aliyetuadaa na matumaini ya kufikirika 2005
 
Akitoka ndani ya CCM hata maisha yake siyo mbali kufika mwisho.
Halafu mimi sielewi kama walikuwa 38 akachaguliwa mmoja mbona hao wengine wote wameamua kukijenga chama chao hata kama kinaonekana kuwa na Siha mbaya mbele ya Hadhira?

Yeye ana kitu gani cha pekee alichonacho asichoweza kumshauri Magufuli kama ni kizuri kikafanyiwa kazi?mpaka atake kuingia ikulu mwenyewe?

Sasa ndiyo naelekea kuamini kuna kitu kimejificha moyo mwa Lowasa na siyo kizuri kwa Watanzania Lowasa atatugharimu.

Mtu mmoja alisema kuwa "Sumu hainjwi"ila huyu jamaa akihama na kwenda Upinza halafu Watanzania tukamchagua kuwa raisi tutakuwa tumeonja Sumu na kiukweli ukionja Sumu kuna matokeo ya kufa tu na utakufa tu maana hamna namna nyingine.

Waaapi wewe..gamba lazma mng'oke tu hizi sound zako hazimwingii mtanzania yeyote mpenda mabadiliko...kizazi tata..kizazi cha facebook na instag n.k
 
Mwacheni aende alafu watanzania tutajua namna ya kuwafanya Ukawa make tamaa zao hizi hazitusaidii ..sikuwahi kuwa CCM ila itabidi kwanza niichane kadi ya CDM na kuachana na siasa ila ntakuwa mpiga kura huru na mwaka huu rasmi ntawapigia CCM tena kwa hasira kuanzia kwa diwani mpaka kwa rais
 
Yaan chadema hawa hawa walio tuaminisha kua eddo ni mwizi watamchukuaaa?????? Sio rais
 
Mwacheni aende alafu watanzania tutajua namna ya kuwafanya Ukawa make tamaa zao hizi hazitusaidii ..sikuwahi kuwa CCM ila itabidi kwanza niichane kadi ya CDM na kuachana na siasa ila ntakuwa mpiga kura huru na mwaka huu rasmi ntawapigia CCM tena kwa hasira kuanzia kwa diwani mpaka kwa rais

Ng'ooka hata mda huu mkuu wala hutaathiri chochote..CHADEMA iko hivi..wakitoka HAMSINI TAPELI...WANAINGIA MIA WAAMINIFU..yaani Chadema ni mtambo wakugeuza fikra mbovu nakuwa safi zenye kufaa kutumika mahala popote..yaani ni hivi..Chama cha Demokrasia na maendeleo ni makini,chaweza mbadilisha mwenye roho mbaya nakuwa MTU mzuri...
 
Lowassa ameshindwa kutambua kuwa watu wanamsukuma kwa sababu ya maslahi yao binafsi? Lowassa alikatwa mwaka 1995, mwaka 2005 akaunda mtandao ambao ulisambaratika miaka mitatu baadae (2008) ambapo alilazimika kujiuzulu. Sasa leo hii anapata wapi ujasiri wa kushinikiza kuwa anafaa kuongoza watu waliomkaa, kipi kimebalika kwenye kabati la Lowassa? Inajulikana kuwa watu wanaweweseka mjini kwa sababu Lowassa aliwapa pesa na kuwaahidi vyeo, sasa wanataka kumtoa kafara ili waneemeke! Ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga!
Una Hekima Sana.
 
Rais anayekuja atakuwa amewatendea haki watanzania akiliunganisha hili fisadi na kina Mramba huko jela.

unamuita huyu fisadi na aliyekuwa kiongozi wake unamuona sio fisadi..? mkubwa wa nchi mwenyewe ndiye alimuagiza huyu...fungukaa ufahamu
 
Akitoka ndani ya CCM hata maisha yake siyo mbali kufika mwisho.
Halafu mimi sielewi kama walikuwa 38 akachaguliwa mmoja mbona hao wengine wote wameamua kukijenga chama chao hata kama kinaonekana kuwa na Siha mbaya mbele ya Hadhira?

Yeye ana kitu gani cha pekee alichonacho asichoweza kumshauri Magufuli kama ni kizuri kikafanyiwa kazi?mpaka atake kuingia ikulu mwenyewe?

Sasa ndiyo naelekea kuamini kuna kitu kimejificha moyo mwa Lowasa na siyo kizuri kwa Watanzania Lowasa atatugharimu.

Mtu mmoja alisema kuwa "Sumu hainjwi"ila huyu jamaa akihama na kwenda Upinza halafu Watanzania tukamchagua kuwa raisi tutakuwa tumeonja Sumu na kiukweli ukionja Sumu kuna matokeo ya kufa tu na utakufa tu maana hamna namna nyingine.
Huyu mzee kaiba pesa zetu sana halafu kachukua pesa nyingi sana kwa watu akiwaahidi kuwasaidia kwenye biashara zao na wengine kuwapa madaraka ,

Kwahiyo alijua kabisa akiwa Rais ataweza kurudisha zile pesa zote alizochukua kwa watu na yeye kuendelea kujinemesha zaidi kimaisha kwa kuendelea kututuibia.

Nadhani tusicheke naye huyu mtu yeye afanye lolote analotaka kufanya halafu tukutane kwenye sanduku la kura tumtandike tena mwizi mkubwa huyu.
 
Kama sio Hofu "Ebu tupia Hints na Ushahidi wa ufisadi wa Eddo Lowassa, ambao Unadhani Walioko CCM ni Wasafi. Jiongeze ndg yangu

ndani ya CCM Hakuna kitu kiitwacho Rushwa bali Takrima. Hakuna Msafi ndani ya CCM, Hiyo Tuhuma ya Richmond Haina Uhalisia na

Serikali nzima Ilikuja Kujua Tayari Imeingizwa Mjini.

Kwan Wew Unauhakika Gan Kama Lowassa Ni Msafi?Na Magufuli Co Msafi Kvp,toa Ushahid!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom