Lowassa apigwa shinikizo kali

Lowassa apigwa shinikizo kali

sizitaki mbichi hizi! Kama lowasa Ni fisadi kwanini hamjampeleka mahakamani??? Kumbe chama cha majambazi (CCM) kinafuga mafisadi!!! Baba riz na mwanae wamechangia tz kuwa maisha magumu kwa kujilimbikizia Mali huku wengine tunaishi kwa shida! Makufuli Ni hizi kubwa kaminya mradi WA barabara mpaka barabara kujengwa nyembamba nayeye kujenga kebby's hotel bamaga na kumweka Malaya wake Dada kabula kuwa msimamizi ambaye alimwachanisha na mume wake na kumuhonga viwanja 3 vya serikali, upo hapo we kibaka wa panya buku wa Lumumba fc?? Bado Andrew chenge, Anne kilango, balali ambaye mmemficha na kutuaminisha amekufa!ccm Ni genge la wahuni ( wezi wa kura, wezi wa Mali zetu, wauaji, wahongo, wanafki,wala rushwa nk) RIP CCM wote mmeoza

Unajua nashindwa kuwaelewa nyie watu. Jana mnalalamika Magufuli mkurupukaji kalicost taifa sijui blah blah, leo mnataka watu wakimbilie kufungua kesi ambazo bado wanakusanyia ushahidi alafu wakishindwa mnaanza yale yale. Mambo mazuri hayahitaji haraka na tingatinga kishasema atawashughulikia POLE POLE. Hehe. Kaa mkao wa viboko kwenye baridi lazima viingie safari hii. Kikwete anajua mziki unaokuja mnene anajipendekeza saivi. Lowassa atabaki na jazba zake na zitamcost siasa waulize walizozianzisha sio lowassa kijana. Pole sana kwa uelewa wako mdogo na story za vijiweni utajua tu mwaka huu. Tukutane October
 
Unajua nashindwa kuwaelewa nyie watu. Jana mnalalamika Magufuli mkurupukaji kalicost taifa sijui blah blah, leo mnataka watu wakimbilie kufungua kesi ambazo bado wanakusanyia ushahidi alafu wakishindwa mnaanza yale yale. Mambo mazuri hayahitaji haraka na tingatinga kishasema atawashughulikia POLE POLE. Hehe. Kaa mkao wa viboko kwenye baridi lazima viingie safari hii. Kikwete anajua mziki unaokuja mnene anajipendekeza saivi. Lowassa atabaki na jazba zake na zitamcost siasa waulize walizozianzisha sio lowassa kijana. Pole sana kwa uelewa wako mdogo na story za vijiweni utajua tu mwaka huu. Tukutane October

miaka mingapi zinakusanyiwa ushahidi?? EPA, meremeta, dowans, escrow!! Wadanganye waliolala ila sio waliohamka!! CCM Ni chama cha majambazi wote hakuna aliyesafi hata wewe unalinda tonge na unajua wazi ccm imeendelea kufanya maisha yawe magumu kwa kuwalinda wapindisha sheria, mafisadi na wala rushwa bado ujambazi jamani!!! Kila sehemu mnadokoa kama panya! Ni nani asiyejua kebbys Ni ya makufuli! Hela katoa wapi! Tukutane october tumechoshwa na huduma mbovu kila idara na nyinyi kujilimbikizia Mali kama taifa hili la Baba zenu! Vibaka wazoefu CCM mnamwaya mwaya kujua lowasa atafichua mitandao yenu!! Lowasa alijiudhulu kulinda lichama lenu la wachumia tumbo, subirieni dawa uwaingie mnapumulia mashine bado mnaruka ruka! Lowasa ndiye fisadi Tu katika lichama lenu la vibaka????
 
Naamini muda ukiwdia wote mnaompinga Edo mtakuja inamisha vichwa chini kwa aibu. Kama mlimpenda kama hivi sasa mnavyojaribu kumshauri mbona hamkifanya hivyo mapema. Yeye ni mtu mzima na ana maamuzi yake binafsi mbona mnahaha kiasi hicho? Kama ni sumu muacheni anywe kwani itamdhuru yeye na sio ninyi.
 
Hakuna siku lowassa aliyoonekana anafaa sio leo tu na futa ujinga mavi huwezi dharau nchi yetu kwa kusema upuuzi kama huo, heshimu nchi yako ama itakukosea heshima na wewe. Bisha sasa utajionea.

wewe ndiye mpuuzi tena Ni choo kila mtu anakunya mavi! Crokochi wewe usituaminishe upumbavu Wako, utabakia kuwa wako
 
CCM kamwe haiwezi pasuka we lofa mwalimu hakubaatisha. Kinachouma ni ammount ya watu wajinga na wapumbavu wanaoshabikia pumba na kinyesi cha nguruwe kama wewe.

mkuuu silentobserver007 wakati nyie mnamuona lowasa ni kinyesi cha nguruwe sisi watanzania wapenda mabadiliko tunamuona ni mbolea na chachu katika mmea wa ukombozi..kitu madini adimu katika uongozi wa kumkomboa mtanzania na kwa maendeleo.
 
Hakuna siku lowassa aliyoonekana anafaa sio leo tu na futa ujinga mavi huwezi dharau nchi yetu kwa kusema upuuzi kama huo, heshimu nchi yako ama itakukosea heshima na wewe. Bisha sasa utajionea.

Daaaah umepanic mdogo wangu..ukweli mchungu sana lowasa lazima awatemeshe nyongo manina
 
Unao uhakika na hiyo vision? . Angekuwa na vision angeanza kuitimiza Monduli kwanza. Mapovu yatawatoka mwaka huu na ikulu hamtaiona hata kwa risasi.

...Duh sikujua ikulu ni ya baba ko dah pole sana...cha moto mtakiona mwaka huu
 
Nimegundua wewe ni malikia wa mipasho. Mshabiki tu huna la kuchangia. Ni kweli kinachoniuma ni hii level yako ya stupidity. Ndio kinachocost taifa. We nenda chadema na mamvi wako tuachie sisi tuanze isafisha ccm pole pole. Ni miaka 10 tumesubiri huyu mtu na timu yake iliyorudisha maendeleo nyuma wasepe na ndio sasa. Kaa mkao wa majonzi maana huyo unayemuita yeboyebo atakunyoosheni tu

...ndo unavyojidanganya na yeboyebo wenu... mtaingia msituni mwaka huu
 
Mrema alikuwa msafi lakini lowasa ni fisadi na ufisadi wake ulifumbiwa macho na ccm akitoka ccm atajiumbua naamini atakosa thamani ndani ya jamii.nadhani ndicho kinachomfanya rostam kupinga lowasa kujiengua ccm
 
Huo mvuto wake aliuficha wapi Arusha mjini wakati Batilda Buriani anatandikwa makofi na Lema? Umesahau hata kichapo cha Nassari kwa mkwe wa Lowassa kule Arumeru? Na kama kweli anaamini yeye ana 'wafuasi' wengi kwanini anang'angania CCM? Why?

Narudia, watu wameahidiwa vyeo sasa wanataka kumpeleka Lowassa kibla wakimdanganya kuwa ana 'wafuasi wengi'! Tafuteni namna nyingine ya kuishi mjini lakini Lowassa ameshakatwa. Mwisho!

Teh teh teh kweli mkuu mi mwenyewe nilikuwa tm EL lkn mwisho wa siku nimeamua kuwa mpole tu
 
Sasa amekatwa nanani kura hatujapiga au ndo mnataka kutuchagulia kiongozi Wa nchi kwa mabavu. Msije thubutu kufanya hivo maana nchi yetu si hile ya miaka hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom