Lowassa apigwa shinikizo kali

Lowassa apigwa shinikizo kali

Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!
Usifikiri watanzania waliokua enzi hizo unazotaja za kina Mrema na wa sasa sawa, wasasa wameshafunguka macho hawadanganyiki huu wakati mwengine.
 
lowasa nifisadi. ccm chama makin kinapeleka viongoz safi ikulu maali patakatifu
 
Mzee Lowassa hao wanajidai kukutaka USIHAME wametumwa Na CCM wanajua ukihama in TISHIO kwa maccm Mkuu wamekudhalilisha sana hebu nenda CHADEMA baba
 
Amsikilize mkewe na familia yake. Hao washirika hawamtakii mema.
 
nyakati zimebadilika
enzi unazo sema kulikuwa hakuna kura za maoni vyama vya upinzani
watu wengi walikuwa ccm
siku hizi watu wanazaliwa hadi kufika miaka 40 hawajawahi kuwa CCM

muache ajaribu bahati yake
Hii ni scenario iliyopo. Mtu mmoja yupo upande mmoja wa mto. Upande wa pili kuna watu wanamshauri avuke huo mto kwa kuogelea.

Lakini mkewe na swahiba mkubwa wa huyo mtu wanamshauri asivuke sababu wao wana wasi wasi na kina cha maji hawana uhakika kipo deep kiasi gani.

Wale upande wa pili suala la kina cha maji kwao sio ishu. Wale wa upande wa pili inaonekana wamenogewa na mahaba(yanaweza yakawa ya kifedha au ya ukweli) ya huyu mtu na wanatamani avuke pasi kujali kwamba kuna uwezekano ni kina kirefu.

Kama kina ni kirefu kuna hati hati huyu mtu hatofanikiwa kufika upande wa pili. Hii ni scenario tu inaweza isiwe na uhalisia.
 
Mzee lowassa hao wanajidai kukutaka USIHAME wametumwa Na CCM wanajua ukihama in TISHIO kwa maccm Mkuu wamekudhalilisha sana hebu nenda CHADEMA baba
Ukiwa hai na ukiwa mfu suala la kuwa tishio au kutokuwa tishio linabadilika kutegemeana na kipi kipo katika huo wakati muafaka.
 
Kwani yeye magufuli ana nini hicho kwa nini asimwachie lowasssa tu? Acha ujinga wewe. Lowassa anavision na vision kwa taharifa yako ni some form of energy ambayo mtu anakuwanayo...haiwezi kuktoka hivi hivi na haswaa ndo inayotoa msukumo. Kwa mtazamo wangu energy na msukumo aliokuwa nao lowassa ni mkubwa sana kuliko magufuli. Ukitaka kupima angalia hamasa na mihamko ya watu katika kila kona....ni lowasa lowasa.. upinzania..uraisi. Huu msikii yeboyebo kabisa akitajwa. It s just natural so usiumie. Watu wanataka kile kitu kinacho wastimulate bwana ...magufuli hapana..BIG NO!
Unao uhakika na hiyo vision? . Angekuwa na vision angeanza kuitimiza Monduli kwanza. Mapovu yatawatoka mwaka huu na ikulu hamtaiona hata kwa risasi.
 
Nilichojifunza mpaka sasa hakuna fisadi nje ya ccm ,fisadi akitoka ccm kwenda upinzani ametakasika

Kwa sababu hata hao wapinzani ni mafisadi wanaosubiri zamu yao ya kufisadi nchi ndio hili sarakasi unayoiona
 
Mkuu umeifanya siku yangu iende vizuri,yani natamani Magufuri aingie leo kesho mjengoni,ili huyu Mamvi apate Bakshishi yake.
Akifanya hivo; Hata familia kuu INAWAHUSU!
 
Leo ndyo mnamuona lowasa hafai? akili nyingine za kilumumba bana kama ushuzi. Lowasa ni mwamba wa siasa za Tz, ukitaja Tz basi jua unamtaja Lowasa

Hakuna siku lowassa aliyoonekana anafaa sio leo tu na futa ujinga mavi huwezi dharau nchi yetu kwa kusema upuuzi kama huo, heshimu nchi yako ama itakukosea heshima na wewe. Bisha sasa utajionea.
 
Pole sana kama imekuuma...ila huyo yebo yebo hakanyagi kwa lowasa hata kwa jiki...na safari hii goli la mkono dah itakuwashida...kamera kila kona!

Nimegundua wewe ni malikia wa mipasho. Mshabiki tu huna la kuchangia. Ni kweli kinachoniuma ni hii level yako ya stupidity. Ndio kinachocost taifa. We nenda chadema na mamvi wako tuachie sisi tuanze isafisha ccm pole pole. Ni miaka 10 tumesubiri huyu mtu na timu yake iliyorudisha maendeleo nyuma wasepe na ndio sasa. Kaa mkao wa majonzi maana huyo unayemuita yeboyebo atakunyoosheni tu
 
Mkuu sema ukweli inauma sana kuona lichama lenu bibi kizee(ccm) linaenda kupasuka vipande vipande

CCM kamwe haiwezi pasuka we lofa mwalimu hakubaatisha. Kinachouma ni ammount ya watu wajinga na wapumbavu wanaoshabikia pumba na kinyesi cha nguruwe kama wewe.
 
lowasa nifisadi. ccm chama makin kinapeleka viongoz safi ikulu maali patakatifu

wewe akili yako imekufa ila bado unapumulia oksijeni,wananchi wa enzi ya mkapa sio wasasa!! RIP gamba (chama cha majambazi)
 
El imara ni yule atakaye jitengenezea historia yake kwa kujivua nyadhifa zote ndani ya CCM, atakaye Achana na masulufu ya uwaziri mkuu aliousema ndilo lilikuwa tatizo na si Richmond kama watanzania walivyo aminishwa lakini akubali kubaki kama mwanaCCM wa kawaida.
 
Kuna kajamaa kalidai mamvi asipokuwa rais tukaue! Sijui bado kanasimamia maneno haya!
 
Nimegundua wewe ni malikia wa mipasho. Mshabiki tu huna la kuchangia. Ni kweli kinachoniuma ni hii level yako ya stupidity. Ndio kinachocost taifa. We nenda chadema na mamvi wako tuachie sisi tuanze isafisha ccm pole pole. Ni miaka 10 tumesubiri huyu mtu na timu yake iliyorudisha maendeleo nyuma wasepe na ndio sasa. Kaa mkao wa majonzi maana huyo unayemuita yeboyebo atakunyoosheni tu

sizitaki mbichi hizi! Kama lowasa Ni fisadi kwanini hamjampeleka mahakamani??? Kumbe chama cha majambazi (CCM) kinafuga mafisadi!!! Baba riz na mwanae wamechangia tz kuwa maisha magumu kwa kujilimbikizia Mali huku wengine tunaishi kwa shida! Makufuli Ni hizi kubwa kaminya mradi WA barabara mpaka barabara kujengwa nyembamba nayeye kujenga kebby's hotel bamaga na kumweka Malaya wake Dada kabula kuwa msimamizi ambaye alimwachanisha na mume wake na kumuhonga viwanja 3 vya serikali, upo hapo we kibaka wa panya buku wa Lumumba fc?? Bado Andrew chenge, Anne kilango, balali ambaye mmemficha na kutuaminisha amekufa!ccm Ni genge la wahuni ( wezi wa kura, wezi wa Mali zetu, wauaji, wahongo, wanafki,wala rushwa nk) RIP CCM wote mmeoza
 
kwanini asipumzike na siasa hizi tamaa zilimponza fisi ..umri ushaenda atulie ajikie mihera yake aliyoichuma kipindi cha utumishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom