Usifikiri watanzania waliokua enzi hizo unazotaja za kina Mrema na wa sasa sawa, wasasa wameshafunguka macho hawadanganyiki huu wakati mwengine.Mzee Lowasa kama mzee wangu tuna toka njia moja nina kushauri achana na kuhama chama maana kwa hakika hutofanikiwa sana sana unajiandalia matatizo ambayo hata dkt wakukutibu hatokuwepo at that time.
kwa nini na sema hivyo nasema hivyo kwakuwa ukweli unaujuwa na mfumo wa serikali unaujuwa na kamwe serikali haiwezi kutengeneza watu wakushindana nayo sana sana nikukutengenzea zengwe zaidi ya lile la kwanza
1. Hafai
2. Hafai
3.Hafai
4 Hafai na NIMTU HATARI KTK SERIKALI
5.?
Soma vitabu vyote nasasa ni zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wetu ni nani alie wahi kupingana na serikali akafanikiwa ukimpata nijuze nifute kauli
Nikupe mfano mdogo tu Mh Mrema yupo wapi mtu alie tikisa taifa hili kila mtu akajuwa hakuna kama mrema yupo wapi yupo wapi wapo wapi maadui wa ccm ndani ya ccm? achana na hii habari kuwa mpole Mungu akupenda utawale hili taifa na wala sio Kikwete maana hata Kikwete hakujuwa vile atakuwa rais ila ilijulikana atakuwa rais kama ilivyojulikana hutokuwa rais.
Simama na utafakari na uone maamuzi yako ni kiza kinene kwa familia yako na watu wako na ni jambo la busara kuwa mjinga nakuendelea kumuunga mkono mgombea alie pitishwa maana mwisho wa yote nilazima utahadhirika kias napata shida kama atakuwepo dkt wakukutibu madhara utakayo yapata.
Mungu anaupima utii wako ktk hili kabla ajashuka nakukwambia kwa makofi sikukuchaguwa wewe!!!!!
Hii ni scenario iliyopo. Mtu mmoja yupo upande mmoja wa mto. Upande wa pili kuna watu wanamshauri avuke huo mto kwa kuogelea.nyakati zimebadilika
enzi unazo sema kulikuwa hakuna kura za maoni vyama vya upinzani
watu wengi walikuwa ccm
siku hizi watu wanazaliwa hadi kufika miaka 40 hawajawahi kuwa CCM
muache ajaribu bahati yake
Ukiwa hai na ukiwa mfu suala la kuwa tishio au kutokuwa tishio linabadilika kutegemeana na kipi kipo katika huo wakati muafaka.Mzee lowassa hao wanajidai kukutaka USIHAME wametumwa Na CCM wanajua ukihama in TISHIO kwa maccm Mkuu wamekudhalilisha sana hebu nenda CHADEMA baba
Unao uhakika na hiyo vision? . Angekuwa na vision angeanza kuitimiza Monduli kwanza. Mapovu yatawatoka mwaka huu na ikulu hamtaiona hata kwa risasi.Kwani yeye magufuli ana nini hicho kwa nini asimwachie lowasssa tu? Acha ujinga wewe. Lowassa anavision na vision kwa taharifa yako ni some form of energy ambayo mtu anakuwanayo...haiwezi kuktoka hivi hivi na haswaa ndo inayotoa msukumo. Kwa mtazamo wangu energy na msukumo aliokuwa nao lowassa ni mkubwa sana kuliko magufuli. Ukitaka kupima angalia hamasa na mihamko ya watu katika kila kona....ni lowasa lowasa.. upinzania..uraisi. Huu msikii yeboyebo kabisa akitajwa. It s just natural so usiumie. Watu wanataka kile kitu kinacho wastimulate bwana ...magufuli hapana..BIG NO!
Nilichojifunza mpaka sasa hakuna fisadi nje ya ccm ,fisadi akitoka ccm kwenda upinzani ametakasika
Akifanya hivo; Hata familia kuu INAWAHUSU!Mkuu umeifanya siku yangu iende vizuri,yani natamani Magufuri aingie leo kesho mjengoni,ili huyu Mamvi apate Bakshishi yake.
Leo ndyo mnamuona lowasa hafai? akili nyingine za kilumumba bana kama ushuzi. Lowasa ni mwamba wa siasa za Tz, ukitaja Tz basi jua unamtaja Lowasa
Pole sana kama imekuuma...ila huyo yebo yebo hakanyagi kwa lowasa hata kwa jiki...na safari hii goli la mkono dah itakuwashida...kamera kila kona!
Mkuu sema ukweli inauma sana kuona lichama lenu bibi kizee(ccm) linaenda kupasuka vipande vipande
lowasa nifisadi. ccm chama makin kinapeleka viongoz safi ikulu maali patakatifu
Nimegundua wewe ni malikia wa mipasho. Mshabiki tu huna la kuchangia. Ni kweli kinachoniuma ni hii level yako ya stupidity. Ndio kinachocost taifa. We nenda chadema na mamvi wako tuachie sisi tuanze isafisha ccm pole pole. Ni miaka 10 tumesubiri huyu mtu na timu yake iliyorudisha maendeleo nyuma wasepe na ndio sasa. Kaa mkao wa majonzi maana huyo unayemuita yeboyebo atakunyoosheni tu