Lowassa apigwa mawe Tarime

Lowassa apigwa mawe Tarime

KIBARAone

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
642
Reaction score
243
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.

Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.

Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.

My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.

========
UPDATE:

Capture lowassa.PNG
 
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv
 
KIBARAone


Acha uongo wewe! / wana tarime wamempokea kwa mbwembwe sana/

KWANINI MTU ANABUNI UONGO NAMNA HII?
 
Last edited by a moderator:
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv

Daaaah

Masikini !!
 
Wanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,
 
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv

Hayo mawe mawili au matatu yanatosha kuthibitisha kuwa taarifa niliyoitoa siyo ya kupikwa. Hata mimi nilikuwapo eneo la tukio na hayo mawe nimeyashuhudia.
 
Erythrocyte Ngoja wapinge tu lkn habari ndiyo hiyo. Mbona TIBAIJUKA alizomewa huko jimboni kwake. Kwani lowassa ana tofauti gani na TIBAIJUKA wakati wote ni kambi moja ya ufisadi?
 
Last edited by a moderator:
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv
tunashukuru kwa uthibitisho mkuu , Mungu akulinde sana .
 
Yaani hilo tukio nimelishuhudia kwa macho yangu. Jamaa angejifanya kinganganizi wangemuua. Na cha ajabu alidondoka wakati anaondolewa naskia hali yake sio nzuri pamoja na afya yake mgogoro ndio doh! Balaa tupu.
 
Hana mvuto watu wanataka hoja za maana yeye anabwabwaja tu hata kuongea hajui kwa siasa za sasa? subiri CCM wampitishe. Atapigwa mawe nchi nzima, labda kasoro Monduli.
 
Hana mvuto watu wanataka hoja za maana yeye anabwabwaja tu hata kuongea hajui kwa siasa za sasa? subiri CCM wampitishe atapigwa mawe nchi nzima, labda kasoro Monduli.

Huyu anajikongoja kwa nguvu ya fedha za wizi tu. Ni mwepesi kama karatasi
 
Back
Top Bottom