Lowassa apaishwa BBC,atakiona cha mtema kuni

Lowassa apaishwa BBC,atakiona cha mtema kuni

Kwa akili zenu ndogo mnataka mwenyekiti aseme tunashindwa mwaka huu mtaisoma namba Oct 25
 
Hii kauli inaweza kumpeleka the Hague huyu mkwere asipokuwa makini na kauli zake

Sekunde za mwanzo tu, beki tuliyedhani ndiye wa kutumainiwa dj kesha jifunga magoli mawili. Mwisho wa mechi itakuwa dazeni za magoli.

Mkuu, Pamoja na yote yaliyotokea do not under estimate what is happening. Upande wa pili umegoma kabisa kuamini kwamba yaliyotokea yamedhoofisha upinzani, kwa namna lilivyokuwa handled imewatisha zaidi.
Wanachoona ni kwamba kwa sasa hivi majority imeamua kwamba iwe iwavyo lakini isiwe CCM.
 
Utakuwa ulipata mtoto ukiwa umechelewa ndani ya ndoa. Ninakufahamu Tupatupa ulizaliwa 1954 na ukaoa 1977. Mpaka kupata mtoto umechelewa sana nini tatizo? Au ulikuwa unakula maisha kwanza?

Hahahaaaaa jamani!
 
Wanaoongoza na waongozwa wasipochunga kauli zao, visirani, naanza kuikumbuka Tanzania ilee..

Nawakumbusha tena;

VYAMA, VYEO, SISI SOTE TUNAPITA. HAKUNA MTANZANIA ZAIDI YA MWINGINE.
TANZANIA ITABAKI
Na pia wakumbuke sio watanzania wote ambao ni wanachama wa vyama vya siasa. Na tuna haki ya kukaa nchini mwetu kwa amani na raha. Wasituvuruge
 
ccm watapigwa bao nyingi tu kama za wanafunzi wa boarding wanaozipiga mabafuni
 
Bahati mbaya wanaliomwingiza yeye kikwete madarakani ndo tuko nao, na wengine wanazidi kuhamia. Huwezi zuia mafuriko kwa mikono
 
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.

Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mkuu wewe ni mwalimu? Hayo ya Mwenyekiti ni ktk kujipa matumaini ya mwenye Nyumba hivyo changanya na zako
 
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.

Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Wewe na mwnao wajinga
 
Nakuonea uluma sana kwani umefumba macho alafu unataka kuyakimbilia mafanikio usiyo yajua! ya wewe n sawa na kipofu anayeshangilia kuwekewa taa chumbani kwake! au kiziwi anayependa saut ya daimond!
 
MH KIKWETE,
ni bora hangenyamaza kimya kabisa, maana hameshindwa kabisa kutuletea - MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA -

zaidi ametuletea laana ya maisha magum kwa kila mtanzania,

tena akumbuke kwamba hao walio mwezesha yeye kuingia ikulu,

ndio hao hao wataiondoa ccm oct 25 asubui,

sisi wananchi tutapika kura za hasira masanduku ya kura hayata tosha,

kama wamejiandaa kupiga goli la mkono,

uho mkono utakatika:
 
Rwagati umenikumbusha shule ya Kazi niliposomea P/S, MaCCM bado wamelala hawauoni ukweli!!
Wacha tuendelee kutoa elimu mwisho wao umekaribia!!
 
Last edited by a moderator:
Tatzo amjui mafanikio yalikuaje wakat wa nyerere! nyerere akua na chama ndo mana auwez kumkuta nyerere amevaa nguo za ccm na pia akawaambia kwa mafumbo kua mafanikio yasipoletwa na ccm watanzania mtayapata nje ya ccm! ila tatizo lenu mnang'ang'ania lugha ya kiswahi wakati amuielewi na aiwez kuwaletea mafanikio! fatilia kwa makini rais anayejua kingereza tanzania ndiye aliye tuletea maendeleo ndo ndiye aliye wawekea mafumbo ya lugha mnayo ing'ang'ania na amuelewi! ccm wanataka waongoze pekeyao bcoz wao ndo walisoma zamani kingerezeza tangu shule za misingi na weng wao awakufka sekondari na wanaongea kingereza vzur!
 
Hao mbweha waanze kutafuta shughuli nyingine za kufanya October mwisho wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom