Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,317
- 1,159
Kwa mazoezi ya UKAWA hata tukipiga hadi extra time ccm lazima wakae.CCM Fanyeni Campaign Hilo Gori La Mkono Msilitegemee na Mara Nyingi Linafanyiwa Team ambazo Hazikujipanga.
Kwa mazoezi ya UKAWA hata tukipiga hadi extra time ccm lazima wakae.CCM Fanyeni Campaign Hilo Gori La Mkono Msilitegemee na Mara Nyingi Linafanyiwa Team ambazo Hazikujipanga.
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.
Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huyo mtoto mpe juice bariiiidi pls!
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.
Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Waliokuwa wanajiuliza Nape anatumwa na nani nadhani sasa jibu wanalo!
Mzee tupa tupa hadi mwanao umeshindwa kumshauri kukipenda anachokipenda baba yake najua una cha kumuongopea kwa kuwa ccm hii siyo ya kipindi cha ujana wako
Hakika amani tunaipenda sana, lakini pale tutopoona tunadhulumiwa hakika I guarantee there will be no peace at all.Wanaoongoza na waongozwa wasipochunga kauli zao, visirani, naanza kuikumbuka Tanzania ilee..
Nawakumbusha tena;
VYAMA, VYEO, SISI SOTE TUNAPITA. HAKUNA MTANZANIA ZAIDI YA MWINGINE.
TANZANIA ITABAKI
Hujaeleza atakiona vipi hicho "cha mtama kuni" zaidi ya kupwapwaja tu kuwa "mwenyekiti"kasema.Hivi umeshikiwa akili na mwenyekiti?? Mtoto wako anakuuliza maswali unashindwa kumjibu halafu unataka mwanao akuamini!!Atakuamini vipi? Hebu soma kichwa cha habari hapo juu na ulichokiandika! Shirikisha "ubongo"unapoandika kitu.
20
Mzee Tupatupa
CCM Fanyeni Campaign Hilo Gori La Mkono Msilitegemee na Mara Nyingi Linafanyiwa Team ambazo Hazikujipanga.
Kilicho mnyoa kanga manyoya!.Lowassa atakiona cha mtema kuni.