Waziri Mkuu Atakayefanye Vurugu Atakiona Cha Mtema Kuni

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Jan 1, 2019
7,567
9,026
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
 
Ndio akili za ccm
IMG-20191115-WA0008.jpeg
 
The guilty are afraid
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
 
Utawala Uliojaa Vitisho na Ubabe🔫💣⚒, na Ukakosa Busara na Hekima.😍👨‍👩‍👦
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.
Walikuwepo wababe kama Sadam hussein, Ghadafu, Noriega na wengine wengi. Tuwasihi tu Watanzania waienzi amani yao.
 
Waziri Mkuu amesema kuwa kampeni za uchaguzi zitaanza kuanzia tarehe17-23 November mwaka huu. Anasema atakayefanya fujo atakiona cha mtema kuni. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini mbona vyama vya upinzani vimeshajitoa na havitoshiriki. Jana ilikuwa vitisho vya igp Siro, Leo waziri mkuu, hivi wanataka nini hawa.

Nasikia leo kuna waziri mmoja mkubwa amelia eti.Hivi ni nin haswa kimamfanya alie.viongozi wengi bara la africa katika nyanja mbalimbali hawateuliwi kwa sababu ya uwezo wa kufanya kazi,baloi wanateuliwa kwa sababu wana uwezo wa kujipendekeza sana,na hawathubutu kuhoji uozo uanaofanywa na waakubwa wao,halafu ni watu wakukubali kila kitu wanachoambiwa na maboss wao.
 
Back
Top Bottom