GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,638
mwanao ana miaka mingapi mkuu?
Analingana Nae Kiumri Na Ndiyo Maana Kamrithisha Hadi Na UPOPOMA Wake.
mwanao ana miaka mingapi mkuu?
Mwenyekiti alikuwa kapanic balaa, haamini kinachotokea
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.
Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam