Lowassa apaishwa BBC,atakiona cha mtema kuni

Lowassa apaishwa BBC,atakiona cha mtema kuni

Hatutishki kwa kauli za kitoto, tunamsubr na mtema kuni wake
 
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.

Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hujaeleza atakiona vipi hicho "cha mtama kuni" zaidi ya kupwapwaja tu kuwa "mwenyekiti"kasema.Hivi umeshikiwa akili na mwenyekiti?? Mtoto wako anakuuliza maswali unashindwa kumjibu halafu unataka mwanao akuamini!!Atakuamini vipi? Hebu soma kichwa cha habari hapo juu na ulichokiandika! Shirikisha "ubongo"unapoandika kitu.
 
Niliangalia zote mbili, Magufuli akisema, "Sijaona wa kunishida!" na Lowasa akisema, "Oktoba 25 tunachukua ushindi asubuhi na mapema!" Nikaona kama kipenga cha Kampeni kinakaribia, shauku yangu ikaongezeka. Tuaona na kusikia mengi!
 
Watanzania ambao bado wamefumba macho na vitu viko wazi ujue ni washabiki tu,na umasikini wameuzoea
 
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.

Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

unaongelea hawa hawa watoto wa divishen V na C ya kuanzia 35?!!! hajaanza kwenda gym na kwenye massage avutie warembo ama the other way round?!!
 
kikwete ampanika mapema sana
hata akimleta mtema magogo ccm kwishney
 
Mwanangu amekuja mbio kunikurupusha eti nije nione. Nione jinsi Idhaa ya Kiswahili ya BBC London inavyotangaza habari za Lowassa na UKAWA yake kwakuwa ni mtu maarufu! Amenítambia,kwakuwa yeye ni mpinzani wangu,kuwa Lowassa atatulaza macho wazi mwaka huu. Nipo hapa natazama,kwa kushurutishwa,BBC kupitia Star TV.

Nimemwambia kuwa Lowassa atakiona cha mtema kuni. Mwenyekiti wetu wa chama amesema. Mwenyekiti amesema tuna uzoefu,mbinu na sababu za kushinda. Mwanangu hapa ananimiminia maswali ili nimwambie mantiki ya kauli ya Mwenyekiti Kikwete. Nimemjibu kuwa asubiri Octoba 25.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Bora ungetii kiu ya mwanao; ukamwambia kwamba katika hali ya kawaida Mwenyekiti wenu ni habitual mropokaji! Kura ya maoni iko pale pale! Patupu! nina orodha ya wauza mihadarati wote nchini, patupu! Kinara Wa majangili yupo pale Arusha! Patupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom