Lowassa ang'aka * Ni kuhusu kunyang'anya mlinzi wake

Lowassa ang'aka * Ni kuhusu kunyang'anya mlinzi wake

Amend your manners you damned SILLY FOOL - you should've your vegitated head examined not MINE - jenga hoja sio unakuja humu ananza kufokea fokea watu ovyo - we mpuuzi kweli kweli.

Having said that sasa tuje kwenye mada, hakuna popote nimesema Tanzania hisiwe na vyama vya upinzani ninacho sema Serikali hisigharimie Mawaziri wakuu waliohama Chama Tawala kutokana na nyadhifa zao zilikuwa ni Political appoitment,vyama vya upinzani vitumie ruzuku inayotolewa na Msajili wa vyama kugharimia ulinzi wa Viongozi wao, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu- kwa bahati mbaya kuna baadhi ya members bado wana hangover ya UCHAGUZI kushindwa Uchaguzi kumewafanya baadhi yao kukasirika ovyo ovyo!
Hebu kapitie na sheria ya viongozi wastaafu serikalini post za kisiasa inasemaje. Usiishie kubisha tu na kutukana. Hukuna mahali sheria inaleta huo ubaguzi wa kivyama, yenyewe inasema kiongozi wa kisiasa mstaafu serikalini bila kutaja uccm au u cuf etc.
 
Nashangaa alisema anaenda Monduli kuchunga ng'ombe kumbe anaenda Monduli kufanya upuuzi ule ule wa kufanya siasa kanisani
Naona lilowasa linakupa tabu sana, nahisi unapenda life, lakini wapi mungu anamsimamia anaendelea kuishi mzee wetu lowasa!!
Mkuu, sidhani kama CHADEMA watafanya hivyo. Ameshamtumia kama condom na sasa hawamtaki tena.

Amwajiri mwenyewe anang'aka nini? Akauze ng'ombe amlipe
 
Hebu kapitie na sheria ya viongozi wastaafu serikalini post za kisiasa inasemaje. Usiishie kubisha tu na kutukana. Hukuna mahali sheria inaleta huo ubaguzi wa kivyama, yenyewe inasema kiongozi wa kisiasa mstaafu serikalini bila kutaja uccm au u cuf etc.
Kitu cha kwanza nilikuwa namjibu member ambaye hakuwa mstaarabu kwa bahati mbaya jibu lake alikuwa quoted kutokana na yeye kushindwa kutumia vizuri version mpya ya JF - hivyo husichukulie jibu langu as if nilikuwa na address members wote - far from it. Huyo jamaa alitumia lugha hisiyo na staha ndio maana nilimjibu kwa lugha kali kidogo hili asizoee otherwise sina tatizo na mtu.

Tukija kwenye swali lako nimemjibu vizuri Pasco lengo langu lilikuwa ni nini, mimi nilikuwa nataka kuchemsha BARAZA.
 
Lowassa ni mstaafu au alifukuzwa kwa wizi? Hivi mfanyakazi wa Serikali akifukuzwa kwa wizi, inakuaje kuhusu mafao yake!?
 
Kwani amenyanganywa ULINZI au amenyanganywa MLINZI? Ukinyanganywa mlinzi na sio ulinzi unaweza kupewa mwingine
 
Hivi wewe ni wa wapi?
Hivi unajielewa?
Umeandika porojo nyiingi lalini hamna la maana.

Hivi unajua serikali ni nini?
Mkuu jenga hoja, soma comments zako mwanzo mpaka mwisho - je kuna kitu chochote ulicho contribute ku-counter comments zangu? Jibu ni HAKUN!!
 
Cha kujiuliza uwaziri mkuu aliupata katika Serikali ya Chama gani? Sasa kama alihamua kuasi chama anategemea nini - kwanza Serikali yetu imestahi sana na sijui kwa nini hauwezi kupoteza tax payers' money kumlinda mtu ambaye hafiki na Serikali iliyopo madarakani na kiusalama bodyguards wa Serikali hawapaswi kutumika kulinda viongozi wa vyama vya upinzani huwezi kujua kesho watamrubuni afanye mambo gani - sijui kwa nini Serikal yetu imekuwa a bit sloppy katika suala hili.


kweli 'CCM IN MAPUMBAVU". Waziri mkuu ni cheo cha ccm? Serikali inaendeshwa kwa katiba ya ccm au ya nchi? Au kwa uchawi wenu mmepumbaa hadi hamjui kuna katiba ya serikali na kwamba ulinzi wa waziri mkuu hadi kufa ni katiba ya nchi?

Ccm inachangia shilingi ngapi kulipa walinzi wa mawaziri wakuu wastafu?

Kwlei wewe sioni ni neno gani linafaa kuwakilisha namna ulivyo pumbavu. Ni afadhali ufe.
 
kweli 'CCM IN MAPUMBAVU". Waziri mkuu ni cheo cha ccm? Serikali inaendeshwa kwa katiba ya ccm au ya nchi? Au kwa uchawi wenu mmepumbaa hadi hamjui kuna katiba ya serikali na kwamba ulinzi wa waziri mkuu hadi kufa ni katiba ya nchi?

Ccm inachangia shilingi ngapi kulipa walinzi wa mawaziri wakuu wastafu?

Kwlei wewe sioni ni neno gani linafaa kuwakilisha namna ulivyo pumbavu. Ni afadhali ufe.
Kwa comment kama hizi U think u're mentally SOUND? I dont think so 'am afriad!
 
ukiacha kazi unalipwa stahiki zako mara moja huendelei kupata pension, nashangaa yeye aliacha kazi kabla yakustaafu kumbe hadi leo alikuwa analindwa na serikali na anakula pension aisee hii nchi bana kabwela ukiacha kazi ukapewa stahiki zako once kwishineii
 
Hivi na wewe mbweha unaweza kusema una uelewa? pumbavu kabisa.
Kumbe nimepatia, wewe ni MIREMBE case hapa hapakufai,kura mmekwisha shindwa jaribuni tena miaka mitano ijayo - usifikiri kutisha tisha watu kutabadirisha chochote.
 
Uwaziri Mkuu ukishaupata hakuna MTU anayeweza kuutoa mpaka aliyekuteua akufukuze kazi au bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na waziri Mkuu.

Lowasa hakufukuzwa kazi wala bunge halikumchukulia hatua zozote za kisheria; aliamua yeye mwenyewe kujiuzuru ili alinde serikali yake.

Ndio maana anaitwa waziri Mkuu mstaafu. Kustaafu sio lazima umalize muda wote wa kuitumikia serikali au taasisi fulani; unaweza amua kuacha kazi kwa hiari yako mwenyewe bila kumaliza muda wako ila hukufukuzwa kazi.
Aliyefukuzwa kazi lazima afunguliwe mashitaka kwa makosa aliyofanya.

Ndio mana Lowasa anasititiza ktk ilani ya ukawa ELIMU; ELIMU; ELIMU.
 
Mkuu
Bukyanagandi
kuna haki za kiraia, haki za kikanuni, yaani stahili na haki za kisiasa!, kujiunga na chama chochote cha siasa ni hiari na kujitoa ni hiari, hakukuondolei haki zako za msingi za kiraia wala za kikanuni!. Miongoni mwa haki za msingi za kiraia, ni pamoja na haki ya kupata ulinzi wewe, jamii yako na mali zako!. Viongozi wale sita ambao ni wakuu, miongoni mwa stahili zao, ni mshahara asilimia 80% ya the sitting position, ulinzi, usafiri, safari 4 za ng'ambo, matibabu nje ya nchi, etc. Mtu hata akihama chama, stahili zake zote zipo palepale!.

Ila kwa vile ulinzi hutolewa na serikali, mlindwa hana mamlaka ya kuchagua anataka kulindwa na mlinzi gani!, na mlinzi pia ni mtumishi wa umma, hana mamlaka ya kuchagua amlinde nani, utumishi wa umma ni kazi popote kwa yoyote!.

Serikali kama imeamua kumhamisha huyo mlinzi aliyepo, itampatia mlinzi mwingine!, ila mlindwa pia yuko huru, kama hataki tena ulinzi wa serikali, yuko huru kujiwekea ulinzi binafsi!, ila atajigharimia!.

Na sio Lowassa tuu, hata Maalim Seif, ulinzi ni wa serikali, gari la serikali, dereva wa serikali, matibabu ya serikali, na mashahara wa serikali mpaka pale atakapokwenda ile safari ya 6feet under!.
Heri ya Mwaka Mpya!.
Pasco

....

....Mpumbavu usimfungulie kitabu ...pamoja sana poti Ilboru hoyeee !!!
 
Hivi lowasa alistaafu au alijiudhuru kwa kashfa
 
Hivi unajua hata familia ya sokoine ina ulinzi na maalim seif pia? Suala la waziri mkuu mstaafu kuwa na ulinzi na usafiri ni haki kama ambavyo wewe unapewa pensheni ukistaafu. Msiweke siasa kwenye utawala. Kuna serikali, na kuna ccm
Mbona mnapotosha ukweli huyu kastaafu au alijiuzuru?je ukijiuzuru unapata stahiki zako,huwezi ukalinganisha haki za mtu aliyejiuzuru na aliyestaafu au aliyefukuzwa,huwezi kulinganisha jinsi ya mwisho wa utumishi wa Lowassa na Sokoine au Maalimu Seifu,nadhani umezaliwa wakati Chadema ilipoanzishwa na akina Mtei
 
Cha kujiuliza uwaziri mkuu aliupata katika Serikali ya Chama gani? Sasa kama alihamua kuasi chama anategemea nini - kwanza Serikali yetu imestahi sana na sijui kwa nini hauwezi kupoteza tax payers' money kumlinda mtu ambaye hafiki na Serikali iliyopo madarakani na kiusalama bodyguards wa Serikali hawapaswi kutumika kulinda viongozi wa vyama vya upinzani huwezi kujua kesho watamrubuni afanye mambo gani - sijui kwa nini Serikal yetu imekuwa a bit sloppy katika suala hili.
We kweli hamnazo,uwaziri mkuu ni kiongozi wa serikali bungeni.Ni wa vyama vyote.Ulinzi na mshahara mpaka wafe ni haki yao hata wahame vyama
 
Mkuu Pasco nimesoma Civics na General Paper - mimi hapa nilitaka kuwachemsha UKAWA. Na kweli nimefanikiwa - check majibu yao - kisa nimengusa LOWASA, angekuwa Maalm Seif wangekaa kimya kabisa. HAPPY NEW YEAR.

we jamaa ni kaizi, general paper ndio somo gani ?
 
Back
Top Bottom