Hivi ni kweli Tendewa kafukuzwa kazi ???? au ni uzushi tu.
Kama kweli kafukuzwa, inasikitisha sana. Hata kama kweli kuna kosa kafanya alipaswa apewe adhabu nyingine na siyo kufukuzwa kazi. Mtu katumikia nchi ujana wake wote mpaka uzee wake tena kwa utiifu na uaminifu mkubwa , leo hii eti unamfukuza kazi??, tena akiwa kabakiza muda mfupi tu kustaafu.
Haya mambo omba sana yasikutokee ila yanaumiza na kusikitisha sana, kuna njia nyingi sana za kumwadabisha mtu anapokosea ila la kumfukuza kazi Hmm! HAPANA JAMANI.