Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

fisadi lowasa ananunua kila mtu.Huyu ni shetani kupambana nae inabidi tujipange kweli kweli Nape na mangula inabidi wakaze.Takukuru Hosea chali

Iv ndo unataka kuwaaminisha wa-tz kuwa nape na mangula ndo watakatifu waliobaki ccm?
Au ndo mpo kwny jahazi na mmeahidiwa udc?
 
nimewafatilia sana ITV,wamekuwa wakimrusha sana lowassa au ndio mambo ya ukanda?mbona watia nia wako wengi sana ccm lakini chombo hicho kimekuwa kikirusha sana lowasa kuliko wagombea wengine.....tumesha jua ajenda yenu ninyi watu wa lowassa na ukaskizini.
Ukweli mtupu huu mkuu ITV na ukanda wao.
 
kula limao kichefuchefu kikuishe..
TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:
Mbona na hao TBC hawarushi habari za UKAWA na haujawahi kuhoji hilo?!
 
huyo ambae sio fisad amekutendea kipi cha maana?..zaid ya hela zake kugawana na mwanae na familia yote kwa ujumla...
 
Amenunuliwa huyo, hana uwezo wa kujenga hoja kama ENL, anavyoogopa maswali
 
ITV inafanya biashara na ni binafsi anafata pale penye hela
 
Kwani hamjui kuwa lowasa ni chaguo la Mungu,ni mwana wa Adamu aliyekuja kutumomboa watanzania
 
nimewafatilia sana ITV,wamekuwa wakimrusha sana lowassa au ndio mambo ya ukanda?mbona watia nia wako wengi sana ccm lakini chombo hicho kimekuwa kikirusha sana lowasa kuliko wagombea wengine.....tumesha jua ajenda yenu ninyi watu wa lowassa na ukaskizini.



Huyiu naye asipooneshwa Membe,makamba,sitta,magufuli,na wenzake 34 ,watanzania wanaadhirika nini?

Hata mafisadi yoote haya yasipooneshwa hatuna shida nato tunamsubiri Dr slaa basi
 
nimewafatilia sana ITV,wamekuwa wakimrusha sana lowassa au ndio mambo ya ukanda?mbona watia nia wako wengi sana ccm lakini chombo hicho kimekuwa kikirusha sana lowasa kuliko wagombea wengine.....tumesha jua ajenda yenu ninyi watu wa lowassa na ukaskizini.

Hicho ni kituo cha mtu binafsi na siyo tbc yenu mliozowea kuiburuza mnavyotaka
 
We ulitaka atangazwe Baba ako? Achn kujfnya mnahoj kila k2.. Still he will be the President
 
Hapana huyu mzee ni kwamba amekuwa na nyota nzuri tu kwa watu.
Ila mbona magazeti yanamchafua tu?
 
Mmechanganyikiwa na Pesa nyie. Kwahiyo watu wote wanashare Mpesa na Lowasa?
Acheni uzushi
 
Back
Top Bottom