kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,940
- 7,847
wacha utani wa kikora wee. ccm inabakia nambari wani. Nambari wani eeeeh.....Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
wacha utani wa kikora wee. ccm inabakia nambari wani. Nambari wani eeeeh.....Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
Mfano wako ni mfu, kwa sisi watu wa Hisabati huwa kuna kitu kinaitwa 'probability' looking into specificity, immeasurably and realistic-ability.
Kwa mfano, hao watu uliowataja (wafanyakazi) kwa idadi tu ni wachache sana ukilinganisha na Wazazi; chukulia ndani ya mwaka mmoja ni wazazi wangapi watahudumiwa hapo, wakati wafanyakazi ni walewale
Mwaka huu mnalo...... 'Bwawa limeingia .......'
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.
Hali ni tete sana!
Mfano wako ni mfu, kwa sisi watu wa Hisabati huwa kuna kitu kinaitwa 'probability' looking into specificity, immeasurably and realistic-ability.
Kwa mfano, hao watu uliowataja (wafanyakazi) kwa idadi tu ni wachache sana ukilinganisha na Wazazi; chukulia ndani ya mwaka mmoja ni wazazi wangapi watahudumiwa hapo, wakati wafanyakazi ni walewale
Mwaka huu mnalo...... 'Bwawa limeingia .......'
"wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane". . . . . . . Wakati huo yeye anataka nini. . . .
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Na zile gharama zitarudije?
WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
Pamoja na interns pia
Aaaaaaaaaaaa mambo gani haya akijitoa watu watapata wapi hela za kula ngoja wale kwanza mpaka mwishoni kabisa.
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
ningemuona wa maana wakati akijitoa aseme Richmond ni nini na ni ya nan?
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Mkuu kuna manes wanaweza patikana bikra lkn ccm mmmmm hakna