Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Status
Not open for further replies.
WanaJF,

Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.

Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.

Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.

Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.

wana siasa ni wanafiki sana,huyu Kangi Lugola si ndio ali mfananisha Lowassa na Joshua,aka muita Lowassa ni kama nabii Elia ha ha ha ina maana siku zote alikua hajui kua Lowassa ni captain wa team wala rushwa?
 
wana siasa ni wanafiki sana,huyu Kangi Lugola si ndio ali mfananisha Lowassa na Joshua,aka muita Lowassa ni kama nabii Elia ha ha ha ina maana siku zote alikua hajui kua Lowassa ni captain wa team wala rushwa?
Lugola ni shushushu asingeweza kumuangusha home boy wake na askari mwenzie Makongoro, alienda kufanya fine tuning ukizingatia Lowasa anamtaka Kajege pale Mwibara na fedha za kuhonga zinatoka kwa Magai (advocate) yupo kwa Lowasa kwa Kazi maalum... Kumbuka kilichompata Boss wa TBS si Lugola ndo alikuja na certificate feki aliyouziwa Ili ammalize jamaa ,huu mchezo bado ngoma mbichi
 
Lugola ni shushushu asingeweza kumuangusha home boy wake na askari mwenzie Makongoro, alienda kufanya fine tuning ukizingatia Lowasa anamtaka Kajege pale Mwibara na fedha za kuhonga zinatoka kwa Magai (advocate) yupo kwa Lowasa kwa Kazi maalum... Kumbuka kilichompata Boss wa TBS si Lugola ndo alikuja na certificate feki aliyouziwa Ili ammalize jamaa ,huu mchezo bado ngoma mbichi

Aisee,kwa hiyo Lugola ni team makongoro ila yuko kwa lowassa ki mkakati zaidi.
 
Mziki wa Lowassa ni mzito,hakuna wa kumtoa wala kukata jina lake,alituambia hana plan B siku zote.Lowassa ni Rais wetu mwaka huu
 
ACT ya ZITO KABWE inacheza ile style ya kukamata Watumwa " Ambushing Technique".
ACT inasubiria huyu mhe: atoswe CCM, then jukwaa lianze upya!

Niliwahi kusema Zitto Kabwe huna hela ya kuanzisha na kukifadhili chama.
Pia niliwahi sema ACT itakufa kabla hata ya uchaguzi mkuu October 2015. Itadumu tu Kidogo Kigoma mjini anakotaka kuwania Ubunge ZZK. Kwingine kote ni kibudu!
 
lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

ni kweli tulikuwa na kikao kizito lakini mada ilikuwa ni kutakatisha hotuba na tumepanga sherehe kama ile ile uwanja wa jamhuri dodoma na mh atapiga makavu makavu yote chama chake kuanzia saa nne asubuhi mpaka msema basi mzee na maswali kumi yaliyowekwa mitandaoni yatajibiwa na mengine mtamuuliza live na hata kwa simu
 
Tatizo liliopo kwa sasa ni kushindwa kuamini habari zinazowekwa humu.
 
ni kweli tulikuwa na kikao kizito lakini mada ilikuwa ni kutakatisha hotuba na tumepanga sherehe kama ile ile uwanja wa jamhuri dodoma na mh atapiga makavu makavu yote chama chake kuanzia saa nne asubuhi mpaka msema basi mzee na maswali kumi yaliyowekwa mitandaoni yatajibiwa na mengine mtamuuliza live na hata kwa simu


Hatudanganyiki!!!!! endelezeni usani...ukiulizwa swali na wahariri...nitajibu arusha njooni Arusha....ukichemka arusha? njooni jamhuri Mzee wa Richmonduli ataunguruma hahahahahah
 
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!
Hau ni ule ugonjwa wa kutetemeka umemuanza tena
 
Lowassa ana jifanya mpambanaji kumbe ni muogo zaidi ya kunguru,enzi za uwaziri mkuu Mwekyembe alipotaka kumtia kabali akamkimbia Mwakyembe badala ya kupambana,Safari hii kapigwa mkwara na Nape huyoo ameshakimbia tayari.
 
na hiyo ndio habari ya yericko mzushi. yericko mrongo, yericko mzandiki....hakuna kujitoa mpaka kieleweke wewe tunga urongo wako sisi tunasooooonga mbele
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom