Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Kweli kabisa. Hana faida yoyoteHata sumu anywe hili ni janga la Taifa
Kweli kabisa. Hana faida yoyoteHata sumu anywe hili ni janga la Taifa
Wanaweza jitoa wote sio serukamba
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Duh! Ndo umeandika nini? Mie bado sijakusoma
Mwanaume wa kweli hupigana mpaka mwisho. Huyu Laigwani wa wapi?
Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
Nilikuwa nasubiri sana aseme lakini sikuona alinikatisha tamaa sana sinampango naye kabisa.
Huu ni uzushi tu
Serukamba ni kama mtoto wa Lowassa kisiasa,Serukamba hawezi furukuta jimbo jipya la Kigoma Kaskazini bila Lowassa
Kama atajitoa plan B yake ni nani maana ujue wagombea wengi huwa na plan B na C, kama Lowassa akijitoa yeye atampa support nani? na huyu tumjue vile vile..Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.
Hali ni tete sana!
Tehetehetehetehe! Huy ndiye HAMY-D yule inayemjua. Yupo katika ubora wake
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Kuna kitu kinaendelea. Soon ukweli utajulikana. Laana ya Mungu inamuandama Lowasamkuu unganisha dot na ile thread ya yericko
Anafaa lakini hatakuwa chaguo letuMwandosya afaa
Wodi ya wazazi ni kwa ajiri ya wazazi hao wengine ni mamluki hawahesabiwi km wazazi kwa wkt huo. Kwa hiyo msemo unabaki palepale