Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Status
Not open for further replies.
ningemuona wa maana wakati akijitoa aseme Richmond ni nini na ni ya nan?
 
Mleta mada kuendelea na story za lowasa ni kumtukuza, njoo na mada za kuleta ni jinsi gani nchi itasonga mbele.
 
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.

Wodi ya wazazi ni kwa ajiri ya wazazi hao wengine ni mamluki hawahesabiwi km wazazi kwa wkt huo. Kwa hiyo msemo unabaki palepale
 
WanaJF,

Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.

Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.

Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.

Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.

Kwa maana hiyo ni vigeugeu.

 
Last edited by a moderator:
ningemuona wa maana wakati akijitoa aseme Richmond ni nini na ni ya nan?
Nilikuwa nasubiri sana aseme lakini sikuona alinikatisha tamaa sana sinampango naye kabisa.
 
Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....

Mkuu kuna manes wanaweza patikana bikra lkn ccm mmmmm hakna
 
Sasa mkuu HAMY-D ndo nimeanza kukuelewa...nilikuwa nashangaa sana mwanzoni msalani anakupinga thread zako..kumbe actually you two mko same kambi...
Refer mfano wa yesu na Belzebul...i think utakuwa umeelewa
 
Last edited by a moderator:
...taabu sana
...wewe umezidi unafiki ....uko Timu gani?
Mkuu sifa kubwa ya mtu mweusi ni kukosa loyalty akishaona boti inazama ata kama ulimpa lift ukiangalia pembeni tu anachukua boya huyo anaruka kivyake muda wa kusubiri mikakati ya kujinusuru kwa pamoja kwake huwa amna.
 
Mwanaume wa kweli hupigana mpaka mwisho. Huyu Laigwani wa wapi?
 
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.

na hatakama wapo, utawajuaje maana hicho ni kama chakula kilicho funikwa ktk kawa.
 
Mleta mada kuendelea na story za lowasa ni kumtukuza, njoo na mada za kuleta ni jinsi gani nchi itasonga mbele.

Nimekupenda vp ww huwezi anzisha ili tuichangie maana hata mi hizi za el zimenishinda.na czipendi kabsa
 
Huu ni uzushi tu
Serukamba ni kama mtoto wa Lowassa kisiasa,Serukamba hawezi furukuta jimbo jipya la Kigoma Kaskazini bila Lowassa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom