Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Status
Not open for further replies.
Credibility ya Yericko Nyerere imeshuka sana! Mwanzoni nilidhani wanamsingizia kuwa ni muongo muongo mtu wa kujipendekeza pendekeza ... alisema Mwinyi, Mkapa walikuwa Butiama wakati CMN anatangaza nia ... kumbe ilikuwa chai kama kawaida yake ... watajivua wote lakini si Serukamba na Kangi Lugola ...
 
hivi mbona watu wa chama cha mafisadi ni wagumu kuelewa? hivi unajua maana ya wodi ya wazazi? hao wahudumu unaowasema huwa wameenda kujifungua?

ndiyo maana hii nchi haiendelei kwa sababu ya watu kama nyie

ha ha haaaa Hamy D leo anahororoja tu
 
hivi mbona watu wa chama cha mafisadi ni wagumu kuelewa? hivi unajua maana ya wodi ya wazazi? hao wahudumu unaowasema huwa wameenda kujifungua?

ndiyo maana hii nchi haiendelei kwa sababu ya watu kama nyie

ha ha haaaa Hamy D leo anahororoja tu, kama ana mouth diarrhoea
 
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

Yeriko wa chadema wapi na wapi na ccm why usizungumzie ya slaa na lipumba nani mgombea wa umoja wenu wa ukawa?
 
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.

Mfano wako ni mfu, kwa sisi watu wa Hisabati huwa kuna kitu kinaitwa 'probability' looking into specificity, immeasurably and realistic-ability.

Kwa mfano, hao watu uliowataja (wafanyakazi) kwa idadi tu ni wachache sana ukilinganisha na Wazazi; chukulia ndani ya mwaka mmoja ni wazazi wangapi watahudumiwa hapo, wakati wafanyakazi ni walewale

Mwaka huu mnalo...... 'Bwawa limeingia .......'
 
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

Huuu upuuuzi wako peleka kwa makongoro wako mwambie ajitoe yeye,,,,
 
Yericko kila siku kwake ni April Fool's. Day. Kesho sijui ataandika nini.
 
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

Wewe nani kakutuma na hizi taarifa uchwara zako ?umezipata wapi nakutafakarigi sana ndugu yangu sikuelewi ndio unawinda UDC kwa makongoro au ?maana mwanzo ulikuja na membe leo makongoro,,,,kama anajitoa taratibu anazijua ,,,,Tafadhali iache product yetu ipo sokoni na inajiuza yenyewe iyo yako utajiju nayo,,,
 
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

we fundi mwashi nimeanza kukuangalia kwa jicho la tatu asee
 
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.


Ahsante sana.....

tusubiri maamuzi ya Chama , haya mambo ua kuchagua team mapema sio kabisa.....

ila 100% Rais atatoka CCM

hakuna mbadala wa CCM
 
Ile timu ni balaa

1. Lowassa

2.Chenge

3.Karamagi

4.Rostam

5.Tibaijuka

6.Kingunge-umiliki wa stand ya ubungo..

Hii timu kama imekaa mkao wa kufanya biashara ikulu hivi..

7. William Ngeleja - asitudanganye eti anachukua form hana ubavu wa kukaa mbali na dingi yake Rostam
 
Kama atajitoa plan B yake ni nani maana ujue wagombea wengi huwa na plan B na C, kama Lowassa akijitoa yeye atampa support nani? na huyu tumjue vile vile..

Mtafute nawe utuletee usiwe mlaji tu wa taarifa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom