Baada ya sinema za muda mrefu za wananchi yaani wachungaji, wanafunzi, maaskofu, masheikh na watu mbalimbali wengine wakitoka songea, kibaha,mwanza bila kujuana na kufka Kwa wakati mmoja na kukuta wameandaliwa na mwenyeji wao pa kukaa na chakula huku akiapa kuwa hakuwa na taarifa za ujio hatima kesho tutashuhudia senema nyingine za watu mbalimba kuprint Tshirt mbalimbali huku tukiaminishwa kila mmoja kaprint kuvyake na kila mtu katoka huko kivyake na hatimaye aliyekuwa anaombwa nae kesho ataomba lidhaa kupelekwa magogoni najiuliza kuomba lidhaa ya nini tena....
Watanzania siyo wapumbavu tena hatuwezi kukubali jambazi kutoka chama cha majambazi, majangili, wauza sembe, waliojaa tuhuma za ubakaji eti tuwaruhusu kuingia ikulu tena, Ndugu zangu watanzania najua wengi Wetu tunazitamani sana hizo pesa za jambazi with wangu kwenu ukipata fursa chukua hizo pesa ukalipie ada ya Mtoto wako na kama Ni muumini mzuri peleka kanisani au msikitini zikaombewe Mtoto wako asije akawa jambazi kama huko zilikotoka na ukipendezwa kama Ni mwanaharakati chukua fungi peleka kwenye chama chako kikasaidie mabadiliko...