Lowassa amjibu Nape

Lowassa amjibu Nape

Lowasa anatumia nguvu kuliko akili, amekosea timing kabisa atapigwa chini mda si mrefu na atapata presha kwa vijisenti vyake alivyotawanya kama njugu

kilambalambila;
Nyiye maccm tatizo lenu ni kujifanya zimefyatu; waweza kutuambia ni nani huyo mwenye huo uwezo na udhu wa kumkemea Lowasa? Amesema, nendeni kwenye vikao, hapo kosa lake ni lipi??
Huyo m/kiti wa hilo lichama hajui muda wa kumtangaza mgombea wa ccm umeshapita? Mbona anagwaya kumtangaza au hajazaliwa mnangoja azaliwe?
Anajua kuwa Lowasa ndiye mwenyewe hakuna mpinzani, wengine wote wangojee apite huyu kwanza. Hakuna mpasuko wala mgawanyiko kama akipita huyu. Mwingine yeyote ni kukiua chama mchana
 
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?

Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: ITV habari kwa saa!

Lowasa ana uhakika kuwa kwenye kikao chochote cha CCM atapeta na wala hawezi kulaumiwa kwa sababu wajumbe wengi yaani zaidi ya robo tatu ya wajumbe wake keshawanunua na watakuwa upande wake na kamwe kikao hakiwezi kumkemea hata angekuwa amekosea kiasi gani. Tuendelee kuangalia hii movie.
 
Lowasa anatumia nguvu kuliko akili, amekosea timing kabisa atapigwa chini mda si mrefu na atapata presha kwa vijisenti vyake alivyotawanya kama njugu

CCM niwaoga wakushindwa Uchaguzi hawana jeuri yakumpiga chini EL
 
Atajiunga na mapacha watatu we mwache tu akorome hovyohovyo tu.
Yaani inabidi ajifunze kwa Mashishanga huyu mzee alimuunga mkono Sumaye wazi wazi kabisa,na hadi mama Mashishanga(RIP) akawa mmoja wa wadhamini kipindi kile wagombea wanatafuta wadamini.Jakaya aliposhinda Mashishanga alichezea fagio la hatari.Hakurudi kwenye ukuu wa mikoa,wenzake waliokaa kimya bila kuonyesha upande wakarudi.
 
Lowasa angekaa kimya hapa amepaniki. Na hii ni dalili kuwa anachofanya si sahihi
 
Yaani inabidi ajifunze kwa Mashishanga huyu mzee alimuunga mkono Sumaye wazi wazi kabisa,na hadi mama Mashishanga(RIP) akawa mmoja wa wadhamini kipindi kile wagombea wanatafuta wadamini.Jakaya aliposhinda Mashishanga alichezea fagio la hatari.Hakurudi kwenye ukuu wa mikoa,wenzake waliokaa kimya bila kuonyesha upande wakarudi.

Yeh kweli ndg Stiven Mashishanga.
 
yaani NAPE ndo ana wahangaisha hivi hamtoi comment za maana mnabaki kumsikiliza dgo NAPE! Ambaye hajitambui sema tuu CCM wenye nayo bado wako kimya watakapo simama na kusema NAPE hicho kivuli tuu wala hana hata hoja kwenye vikao! CCM wanamwita kasuku wetu au tarumbeta la chama! mm nawashauri msitunge mambo tulieni vijana tutampata Rais tunaye mtaka sisi na sio anayetakwa na NAPE au JK au Kinana au mbowe au Slaa au Lipumba n.k! nafasi yetu nikusubiri na kuwaona na kuwasikiliza wagombea na kuamua nani anaye tufaa bila kuzingatia chama wala nini?
 
huyo kamanda wa uvccm mbalali ameshavuta zake katia mfukoni halafu anasumbua watu.
 
lowasa amemshangaa nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha chama?

Lowassa amesema ccm anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: Itv habari kwa saa!
=======================

haisaidii, sasahivi inabidi tuende wakati hayupo tuache ujumbe.
 
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!

NB:Hili swala haliwezi kuwasaidia UKAWA kwenda ikulu na wala wasijidanganye ...Rais wa nchi hii hawezi kutoka nje ya CCM..
Wewe si unategemea kuwa Firstlady kupitia Kagenzi
 
Mimi nafikiri sasa tusipeane vyeo kama fadhila watu wengine bado watoto wanakabidhiwa nyazifa zinazo wazidi umri lazima waharibu tu hili ni angalizo kwa chama
 
Lowasa ana uhakika kuwa kwenye kikao chochote cha CCM atapeta na wala hawezi kulaumiwa kwa sababu wajumbe wengi yaani zaidi ya robo tatu ya wajumbe wake keshawanunua na watakuwa upande wake na kamwe kikao hakiwezi kumkemea hata angekuwa amekosea kiasi gani. Tuendelee kuangalia hii movie.

Nchi hii haina wanasiasa ila wote n maskini wanaosubir nan awape hela ndo wafanye maamuz. Lowassa hafai kua rais
 
sasa kumekucha ndani ya CCM siku chache baada ya EL kunyoshewa vidole na baadhi ya wadau wakiwemo makada wenzake wa CCM kuhusu kufuatwa na makundi mbalimbali ya watu ambao ni MASHEKH WA BAGAMOYO,MADEREVA WA BODABODA,WANAFUNZI WA UDOM,MAASKOFU.wakimtaka akachukue fomu ya kugombea urais. EL amewajibu waliokua wakimsakama kuwa umati ule wa watu walifika nyumbani kwake dodoma ni sawa na mafuriko na yeye kama binadamu hana uwezo wa kuyazuia kwa mikono.NAPE upo hapo? karibuni jamvini.
 
Back
Top Bottom