Nyerere hakuwa mungu na hakuwahi kusema edi ni mjinga.labda alisema wewe ni mpumbavu tena adiot.Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
Alisema nini na wapi uliponukuu hayo maneno ya Nyerere?? kua EL ni mjinga??
Hata kama Nape msemaji wa chama.. lini walikaa KIKAO hivi karibuni mpaka kufikia Nape kumtamkia maneno EL
Acha ushabiki mandazi wivu unakusumbua si buree weee umetumwa!!
Huyu Nape siku Lowasa akiwa Raisi,basi Nape atajikuta hana ajira.Nape anahakikisha Lowasa asipitishwe ili walau apate ukuu wa mkoa kutoka kwa Membe,Magufuli
Hii filamu karibu inaanza kuchanganya. Walio nje ingieni.
Usipotoshe Mkuu, hakuna mahali ambako UKAWA walitamka kuwa wakiingia madarakani watalipiza kisasi! Usitake kuwachonganisha UKAWA na wananchi, nayakataa mawazo yako!!
Naamini alimaanisha neutral- hoji vitu vya msingi mangi!!
By your personal definition, Kikwete, Lipumba ni Mangi??kumbe Mpare?! ndio maana ushamba mwingi- Mangi ni kiongozi kwa taarifa yako!!!
hapo ndipo tunapokosea, yaani mtu aogopwe kwa sababu ya pesa zake? nampa Nape big UpNape anachokitaka toka kwa Mamvi atakipata muda si mrefu.
Kauli ya Nape ni kauli ya Jk.
Lowassa jiandae kuenguliwa.Hivyo vikao unavyoongelea vikikaa kazi ni moja tu nayo ni kuhakikisha unapigwa chini.
Hata hivyo,hii ni laana ili tu CCM iangamie kupitia Lowassa na Kikwete.
Hata Mungu amewachoka na this time around lazima msambaratike kama sio kuhujumiana.
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Mmetutendea uovu mwingi watanzania na sasa mungu kasema yatosha.
Mnara wa babeli unakaribi kuanguka.
bora CCM kufa kuliko kuongozwa na mwizi, tutaficha wapi nyuso zetu?Dalili za kura za hasira mwezi Oktoba zinaanza kuonekana. Naiona CCM kama ilivyokuwa KANU. Yenyewe inajiamini kweli... Ngoja tusubiri tuyaone
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
Nimsemaji wa mambo ambayo hayajadiliwa?!!! Mbona itakuwa maajabu ya dunia. Na hicho chama kitakuwa mali yake napeNyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
Act IPI hiyo,limbu mzalendo ama mwigamba mvamizimsemaji wa chama sio kusema chochote lazima kitu kinachoitwa tamko la chama kitokane na makubaliano ya kikao ..............hiyo inafanyika ACT tu
bora ccm kufa kuliko kuongozwa na mwinzi sasa ndani ya ccm na msafi pia ife mara ya ngapi tunawasubiri octoba kuwazika rasmi Lowasa hiki alichokigundua kitaimaliza ccmbora CCM kufa kuliko kuongozwa na mwizi, tutaficha wapi nyuso zetu?