Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
EL siku hizi amekuwa MAVINape anachokitaka toka kwa Mamvi atakipata muda si mrefu.
EL siku hizi amekuwa MAVINape anachokitaka toka kwa Mamvi atakipata muda si mrefu.
Mtazikana mwaka huuinawezekana kweli huyu mzee ni mgonjwae?
hamna mwenye ubavu wa kumpiga chini lowasa......
nape ana side gan
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!
NB:Hili swala haliwezi kuwasaidia UKAWA kwenda ikulu na wala wasijidanganye ...Rais wa nchi hii hawezi kutoka nje ya CCM..
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!
NB:Hili swala haliwezi kuwasaidia UKAWA kwenda ikulu na wala wasijidanganye ...Rais wa nchi hii hawezi kutoka nje ya CCM..
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
Nape ni bosi wa lowasa.
Nape kosa lako ni kutokumvua huyo fisadi gamba sasa atakupanda kichwani
Kupitia akaunt ya Twitter ya Laigwani Lowassa (EdwardLowassa) Amefunguka Yafuatayo:
Ati Nyerere alimkataa Lowassa, hakuna dhambi kubwa mnatenda kama kuongopa kwa kutumia jina la Mwalimu Nyerere.
Ni kweli mwanangu Frederick anamiliki nyumba Uingereza, lakini hiyo ni nyumba yake, si yangu.
Mkapa alipounda Baraza la Mawaziri jipya mwaka 1995 alikuacha. Wao wanasema kwamba Mwalimu alimwambia asikupe hata Uwaziri. Hizo ni porojo.
Ni kweli namiliki ranchi Mzeri Handeni. Niliipata nikiwa Waziri wa Mifugo na nilifuata taratibu zote za kisheria. Sijaiba kama wengi wenu.
Richmond: mapenzi ya nchi yangu yalinipa moyo kuhifadhi aibu ya utawala, nilibeba lawama ila wakati wake utafika tu.
Richmond: mapenzi ya nchi yangu yalinipa moyo kuhifadhi aibu ya utawala, nilibeba lawama ila wakati wake utafika tu.
Ni kweli kila MNEC nilimpa milioni 1,(milioni 370) na kila mjumbe 500,000 msimu wa sikukuu. Ni fedha zangu na marafiki. Nimezitoa wazi wazi.
Msafi na mwadilifu ndani ya CCM awe wa kwanza kuokota jiwe kumrushia Lowassa.
Wote wanajua endapo Edward atapita utakuwa mwisho wao kukosa kuwajibika kwa wananchi. Wanatumia kivuli cha uchafu kujiita wazalendo zaidi.
Ni kweli nalipa wanahabari kufanya kazi na pia wataalam mbalimbali wa mikakati ndani na nje ya nchi. Mwanasiasa gani asiyefanya hivyo?!!
Siku zote Nape Nnauye hajui anazungumza nini, apuuzwe tu, ni kijana mdogo ambaye anatumika bila kufahamu.
Nchi inakosa mwelekeo sababu ya kukosa uongozi imara. Sishangai Jussa kusema UKAWA iko tayari kushirikiana hata na ibilisi mradi CCM ing'oke
RT@Chahali Lowassa ni janga La kitaifa.Miaka miwili tu Uwaziri Mkuu,akatutapeli na Richmond.Akipewa #Urais2015 si atauza nchi?- HUJUI UKWELI
Nape 2005 alikuwa anasema Kikwete kuwa akichukua nchi atahama nchi. Nape hajifunzi kutokana na makosa, anarudia makosa yale yale.
Wote wanajua endapo Edward atapita utakuwa mwisho wao kukosa kuwajibika kwa wananchi. Wanatumia kivuli cha uchafu kujiita wazalendo zaidi.
Thubutu,ndivyo unavyomdanganya ati yeye ni boss wa Lowassa? Mwambie ajaribu aone mziki wake,muulize hata kama anakumbuka huo msemo wa "kuvua Gamba".
Naona zigo la Lowassa katwishwa Nape.. Wenye chama wao kimya kama hawaoni vile... Mzee Mwinxi, Mpaka, Warioba, Salim,Mangula, Kinana mko wapi??