Obuma
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,727
- 5,094
Kweli wewe ni mgumu sana kuelewa! Naomba niishie hapokwani hapo kuna msiba huyo sioi alitumwaa na mama lowasa aibe? mama lowasa Analia kwa sababu wamekula pesa za kitillya halafu wameshindwa kumsaidia apate dhamani nafsi yake inamsuta