Lowassa alifuata nini Iringa?

Lowassa alifuata nini Iringa?

Lowasa hawezi kuwa rais never ever. Hatufai wanyonge na watanzania. Hii nhi ni changa sn na ipo katika ujamaa na kujitegemea. Yeye ni bepari. CCM kama kweli wanataka washinde 2015 wampitishe Prof. anna kajumulo tibaijuka kugombea.

Daa ni mhaya huyo teh teh natania
 
Acheni umbea mi mbona nlikuwepo hamniseni? subirini ashike hatamu mtaona atakavyo wafanya nyie wote mliomuita fisadi
 
Mkuu na wewe ume onja kitei na sumu pale Ilboru? maana hiyo terminology ya Ilborians... Bahati mbaya sana kwa sasa Lowassa hazuiliki! presence yake inawaogofya akina Joka la Mdimu na watu wake ....

Mzee kumbe tulikuwa wote kwa Bino na Mzee Mapambano? Nasikia Medukenya alifariki.
 
Mzee kumbe tulikuwa wote kwa Bino na Mzee Mapambano? Nasikia Medukenya alifariki.

Haswaa sisi ni Vijana wa yule Bondia Bino!...Inasifika sana..kujitegemea kwake inasifika sana!!!....hahahaha... sad, Mzulu kafariki lini tena? Najua Chief, Salema, Mtui, Mutabuzi, shelukindo nafahamu kuwa walishatangulia kwa muumba ...
 
lowassa ameshachoka

Kwetu sisi bora lowassa aliechoka kuliko eti January, Membe !!!Grrrr.... Siku hizi Urais unaonekana ni kazi rahisi sana kwasababu hakuna accountability ndani ya CCM..
 
Haswaa sisi ni Vijana wa yule Bondia Bino!...Inasifika sana..kujitegemea kwake inasifika sana!!!....hahahaha... sad, Mzulu kafariki lini tena? Najua Chief, Salema, Mtui, Mutabuzi, shelukindo nafahamu kuwa walishatangulia kwa muumba ...

usinikumbushe chief, wakati ule na pikipiki yake ya mhhhh akikuta umetoka town kupitia njia ya kwa Loning' o utakoma viboko vyake, vipi Baba Kite mlimkuta?
 
Huwa najiuliza sana, hivi Lowassa anautafuta urais wa nini wakati afya yake imedhoofu kiasi hicho? Na kama urais ndio unatafutwa hivyo, basi tujiandae kwa mateso.

Kuna kijipoint kwenye post hii,ukichanganya na ule ufadhili wa wasaliti na haya ya juzi !
 
ameonekana kwenye vyombo mbalimbali akiwa miongoni mwa wageni kwenye JUBILEE YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA NGALALEKUMTWA , LAKINI IKUMBUKWE KWAMBA CHAMA CHAO CHINI YA KAMATI YA MANGULA KILIWAONYA WALIOITWA WASAKA URAIS kwa NJIA ZA PANYA KUTUMIA SHUGHULI KAMA HIZI ILI KUTAFUTA KUUNGWA MKONO , SASA CHA KUSHANGAZA AMEONEKANA KWENYE SHUGHULI AMBAYO SIDHANI KAMA WABUNGE WA KIGENI WALIALIKWA ! JE ADHABU YAO IMEISHA ?

Kwahiyo ulitaka asiende au!? Kosa lake ni lipi hapo Mhe. Lowassa
 
Mbunge wa kigeni ni nani? na mbona askofu alishasema kuwa mhe. alialikwa kama waalikwa wengine. taabu ni nn jamani? e.l juuu
 
Inakokwenda watataka hadi "asikate gogo"

↑ this is so true... that was an event jamanii na alipewa mualiko kama watu wengne walivyopewa mualiko pia,and akaamua kwendaa kama watu wengine walivyoendaa, mtoa hojaa inaelekeaa umemuonaa tuu lowassa hapo, its irritating ,he has the right ya kufanyaa his personal issues piaa sio kila kukichaa mnamuandama tuu....
 
↑ this is so true... that was an event jamanii na alipewa mualiko kama watu wengne walivyopewa mualiko pia,and akaamua kwendaa kama watu wengine walivyoendaa, mtoa hojaa inaelekeaa umemuonaa tuu lowassa hapo, its irritating ,he has the right ya kufanyaa his personal issues piaa sio kila kukichaa mnamuandama tuu....
Kama kumuandama ni bora ulaumu chama chake ,maana ndio kilikataza kujipitishapitisha , mimi nimeuliza tu.
 
Back
Top Bottom